johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,761
- 141,627
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Kunenge amekagua ujenzi wa barabara ya Mwinyijuma Mwananyamala na kusikitishwa na kusuasua kwa ujenzi huo.
Kunenge ameagiza Mkandarasi afanye kazi usiku na mchana na ahakikishe amekabidhi barabara hiyo ifikapo 30/6/2021 ikiwa imekamilika vinginevyo atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.
Mzee Mgaya ambaye ni mwenyeji wa CCM Mwinyijuma ameshukuru kwa ziara hiyo ya mkuu wa mkoa.
Chanzo: Upendo TV
Maendeleo hayana vyama!
Kunenge ameagiza Mkandarasi afanye kazi usiku na mchana na ahakikishe amekabidhi barabara hiyo ifikapo 30/6/2021 ikiwa imekamilika vinginevyo atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria.
Mzee Mgaya ambaye ni mwenyeji wa CCM Mwinyijuma ameshukuru kwa ziara hiyo ya mkuu wa mkoa.
Chanzo: Upendo TV
Maendeleo hayana vyama!