RC Kaskazini Pemba ampigisha Pushup injinia wa Wete kwa kushindwa kutekeleza agizo alilolitoa

G-Mdadisi

Senior Member
Feb 15, 2018
157
99
MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe Salama Mbarouk Khatib ameagiza kurejeshwa wizarani wafanyakazi watatu wa baraza la Mji Wete baada kushindwa kutekeleza maagizo ya Serikali ya kuifanyia matengenezo ya dharura barabara ya ndani unayounganisha wananchi wa shehia ya Utaani iliyokatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.​

Agizo la kuifanyia matengenezo barabara hiyo limetolewa mapema asubuhi tarehe 22/4/ 2021 lakini hadi inafika saa kumi jioni hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa ambapo Mkuu wa Mkoa anafika katika eneo hilo na kutoa agizo.

Mkuu wa wilaya ya Wete Mgeni Khatib Yahya amesema kushindwa kufanyiwa kazi agizo lake ni utovu wa nidhamu huku Mkurugenzi wa Baraza la Mji naye akazungumza.

Nao baadhi ya wananchi wanaotumia barabara hiyo wameiomba serikali kuchukua hatua za haraka kuifanyia matengezo kwani ndio wanayotumia kufuata mahitaji yao.

Abushir Khamis yeye ni injinia ya baraza hilo, na hichi ndicho kilichomkuta.
 


MKUU wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe Salama Mbarouk Khatib ameagiza kurejeshwa wizarani wafanyakazi watatu wa baraza la Mji Wete baada kushindwa kutekeleza maagizo ya Serikali ya kuifanyia matengenezo ya dharura barabara ya ndani unayounganisha wananchi wa shehia ya Utaani iliyokatika kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha.

Agizo la kuifanyia matengenezo barabara hiyo limetolewa mapema asubuhi tarehe 22/4/ 2021 lakini hadi inafika saa kumi jioni hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa ambapo Mkuu wa Mkoa anafika katika eneo hilo na kutoa agizo.

Mkuu wa wilaya ya Wete Mgeni Khatib Yahya amesema kushindwa kufanyiwa kazi agizo lake ni utovu wa nidhamu huku Mkurugenzi wa Baraza la Mji naye akazungumza.

Nao baadhi ya wananchi wanaotumia barabara hiyo wameiomba serikali kuchukua hatua za haraka kuifanyia matengezo kwani ndio wanayotumia kufuata mahitaji yao.

Abushir Khamis yeye ni injinia ya baraza hilo, na hichi ndicho kilichomkuta.

Mlisema uongo wa wanaume na wanawake ni sawa.yameanza
 
Huyu amekubalije kupiga push up? Sheria za kazi wengi hawazisomi, na huyu aliyotoa hiyo amri ndiyo wale wanaopewa uongozi kama zawadi tu ila siyo uwezo
 
Back
Top Bottom