johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,873
Mkuu wa mkoa wa Mbeya mh Homela amelitaka Jeshi la Polisi kuwachukulia hatua kali sana madereva wa magari ya serikali wanaoendesha magari hovyo.
Homela ametolea mfano wa madereva wa TRA na Tanesco waliosababisha vifo vya wafanyakazi zaidi ya 10 katika ajali mbili tofauti.
Source: ITV habari
Homela ametolea mfano wa madereva wa TRA na Tanesco waliosababisha vifo vya wafanyakazi zaidi ya 10 katika ajali mbili tofauti.
Source: ITV habari