Unfortunately it's too late maana ameshaingia kwenye red zone hata wazee wakisema tumekusamehe haitamsaidia kutoboa sababu ameshaonekana hana nidhamu.Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.
Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.
Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani
Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.
View attachment 1815168
"Popote watakapojitokeza tutawatwanga" halafu mama samia anamuacha mtu kama huyu kwenye ofisi ya Umma. Hapa mama patafakari upya.Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.
Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.
Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani
Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.
View attachment 1815168
Happy lazima aende na mma next reshuffle.
Pale atakutana na majungu yakina namba3 mwenyekit was ccm mkoaUnfortunately it's too late maana ameshaingia kwenye red zone hata wazee wakisema tumekusamehe haitamsaidia kutoboa sababu ameshaonekana hana nidhamu.
Ajiandae kuwa jobless kama Chalamila. Kule Mara hawezi kutoboa labda azidishe maombi Ila kwa hulka yake hawezi kujizuia kufanya mambo ya hovyo.
Aisee kweli, yule Mwenyekiti ana kiherehere balaa. Dogo ajiandae kuwa mjasiriamali tu karata zake zimefika mwisho amelamba dume.Pale atakutana na majungu yakina namba3 mwenyekit was ccm mkoa
Chapa kazi Ally Hapi wajinga chadema hawajawahi kuwa na jema na nchi hii
Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.
Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.
Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani
Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.
View attachment 1815168
Dogo anamtukana Kikwete huyu kwa kujiaminiii... sasaiv akionana nae sijui atafanyaje? Moja haikai,mbili haikai..kulia anataka kucheka anataka. Anabaki mdomo waziSote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.
Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.
Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani
Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.
View attachment 1815168
Bado wewe si uĺijinasibu kuwa wewe ni mtu hatari! Subiri time will tell!Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.
Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.
Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani
Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.
View attachment 1815168
Na dadie huyo kunguniMjinga mamio mbweha wewe
HakikaHuyu kashawafata kimya kimya, nikikumbuka alivyomdharau JK sidhani kama hajamfata chemba kuyamaliza, amejifunza kutomtegemea mwanadamu na kurudi kumtegemea Mungu