RC Hapi umepewa onyo la Mwisho, omba radhi kwa kutukana Wazee

Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.

Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.

Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani

Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.
View attachment 1815168
Unfortunately it's too late maana ameshaingia kwenye red zone hata wazee wakisema tumekusamehe haitamsaidia kutoboa sababu ameshaonekana hana nidhamu.

Ajiandae kuwa jobless kama Chalamila. Kule Mara hawezi kutoboa labda azidishe maombi Ila kwa hulka yake hawezi kujizuia kufanya mambo ya hovyo.
 
Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.

Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.

Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani

Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.
View attachment 1815168
"Popote watakapojitokeza tutawatwanga" halafu mama samia anamuacha mtu kama huyu kwenye ofisi ya Umma. Hapa mama patafakari upya.
 
Unfortunately it's too late maana ameshaingia kwenye red zone hata wazee wakisema tumekusamehe haitamsaidia kutoboa sababu ameshaonekana hana nidhamu.

Ajiandae kuwa jobless kama Chalamila. Kule Mara hawezi kutoboa labda azidishe maombi Ila kwa hulka yake hawezi kujizuia kufanya mambo ya hovyo.
Pale atakutana na majungu yakina namba3 mwenyekit was ccm mkoa
 
Pale atakutana na majungu yakina namba3 mwenyekit was ccm mkoa
Aisee kweli, yule Mwenyekiti ana kiherehere balaa. Dogo ajiandae kuwa mjasiriamali tu karata zake zimefika mwisho amelamba dume.

Otherwise ajiunge na Chalamila wafungue bar wawe wanalewa tu😃😃😃
 
Wewe unamsifia JK huku ukiwa na kaunafiki mifuko yako yote ya nguo ulizovaa saa hii.

Who the he'll is Kikwete unataka aabudiwe usiku na mchana.
Mtu akifanya fyongo unapewa LIVE!
 
Huyu alivyo kwenda Tabora hapo juzi kati mapokeze yake utadhani rais wa Taifa la Tabora .sio msafara wakumpokea kilometer 5 .ngoma za jadi zimepigwa na kutawazwa na matambiko yaani.sijui huyu kijana kiburi na majivuni anatowa wapi !!!!???
Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.

Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.

Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani

Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.
View attachment 1815168
 
Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.

Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.

Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani

Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.
View attachment 1815168
Dogo anamtukana Kikwete huyu kwa kujiaminiii... sasaiv akionana nae sijui atafanyaje? Moja haikai,mbili haikai..kulia anataka kucheka anataka. Anabaki mdomo wazi
 
Wewe unamsifia JK huku ukiwa na kaunafiki mifuko yako yote ya nguo ulizovaa saa hii.

Who the he'll is Kikwete unataka aabudiwe usiku na mchana.
Mtu akifanya fyongo unapewa LIVE!
Unaongea nini mbona hueleweki
 
Sote tunakumbuka ulivyotukana Wazee wetu tena kwa kiburi majivuno ukifoka kama unawafokea watoto wadogo. Hilo halikuwahi kufanyika na kiongozi mwingine yeyote.

Kitendo cha kuhamishiwa Mkoa kupelekwa Mara wakati 'mwenzako' anatumbuliwa unatakiwa kukitafakari na kuona ni onyo la mwisho, unatakiwa kuomba msamaha.

Wewe bado ni kijana mdogo na una safari ndefu sana, waombe radhi Wazee uliowadhihaki na kuwatukana. Ikiwezekana omba hadharani kama vile ulivyowatukana hadharani

Iga mfano wa Mwenyekiti wa UVCCM Kheri James, japo msamaha ulikuwa wake binafsi ila nakushauri na wewe ufanye hivyo.
View attachment 1815168
Bado wewe si uĺijinasibu kuwa wewe ni mtu hatari! Subiri time will tell!
 
Back
Top Bottom