TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,075
Si mulisema Arusha hata Mkilisimamisha jiwe kugombea ubunge kupitia chama chenu, jiwe litashinda!? Fanyeni upumbavu huo sasa tuone...hawaachiani maji mezani -
Si mulisema Arusha hata Mkilisimamisha jiwe kugombea ubunge kupitia chama chenu, jiwe litashinda!? Fanyeni upumbavu huo sasa tuone...hawaachiani maji mezani -
Aliyekunyima akili na ufahamu alikuweza!Lema acha kuweweseka muda wako umeisha
lema ametoka wapi hapa ktk nyumba ya ccm? kweli hakuna ugonjwa mbaya kama kukosa akili!Lema anamugopa sana gambo kuliko ccm