Mibas
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,168
- 6,291
Mumerikoroga wenyewe acha mmalizane.sisi kwa sisi mtifuano
Mumerikoroga wenyewe acha mmalizane.sisi kwa sisi mtifuano
Unaongelea nani awe na nidhamu kati ya Mh. Mrisho Gambo au Mh.Mnyeti?
Hawa watu wangejua ambavyo vyeo ni dhamana hakika wangekuwa wapole sana yaani.
Na kwa bahati mbaya sana wameanza madaraka wakiwa vijana sana, kitu ambacho kinawafanya watoke madarakani wakiwa vijana pia! Sioni wala sidhani kuna uhakika wakafika madarakani wakiwa na miaka 50 na zaidi. Sasa kwa kutengeneza maadui wengi kila kukicha sijui kama huwa wanawaza kesho yao wakiwa hawana madaraka huku mtaani maisha yatakuwaje.
Hivi hawa ni wababe kuliko alivyokuwa Muheshimiwa Mulongo? Yuko wapi sasa hivi? Wanafika nusu ya ubabe wa Muheshimiwa Muhongo hawa? Yuko wapi sasa hivi?
Wadogo zangu jiulizeni maisha yenu na ya familia yenu ya baadae, ubabe hauna mwenyewe huu.
Mkuu umeongea neno zito sana hakikaHawa watu wangejua ambavyo vyeo ni dhamana hakika wangekuwa wapole sana yaani.
Na kwa bahati mbaya sana wameanza madaraka wakiwa vijana sana, kitu ambacho kinawafanya watoke madarakani wakiwa vijana pia! Sioni wala sidhani kuna uhakika wakafika madarakani wakiwa na miaka 50 na zaidi. Sasa kwa kutengeneza maadui wengi kila kukicha sijui kama huwa wanawaza kesho yao wakiwa hawana madaraka huku mtaani maisha yatakuwaje.
Hivi hawa ni wababe kuliko alivyokuwa Muheshimiwa Mulongo? Yuko wapi sasa hivi? Wanafika nusu ya ubabe wa Muheshimiwa Muhongo hawa? Yuko wapi sasa hivi?
Wadogo zangu jiulizeni maisha yenu na ya familia yenu ya baadae, ubabe hauna mwenyewe huu.
Jibu swali kwa ufasahaUnaeona wewe kakosa nidhamu.
Ufasaha wa lugha ipi tena? Nimeandika Kiswahili fasaha au unamaanisha nijibu unavyotaka wewe? Weka jibu basi.Jibu swali kwa ufasaha
Umesema vyemaHawa watu wangejua ambavyo vyeo ni dhamana hakika wangekuwa wapole sana yaani.
Na kwa bahati mbaya sana wameanza madaraka wakiwa vijana sana, kitu ambacho kinawafanya watoke madarakani wakiwa vijana pia! Sioni wala sidhani kuna uhakika wakafika madarakani wakiwa na miaka 50 na zaidi. Sasa kwa kutengeneza maadui wengi kila kukicha sijui kama huwa wanawaza kesho yao wakiwa hawana madaraka huku mtaani maisha yatakuwaje.
Hivi hawa ni wababe kuliko alivyokuwa Muheshimiwa Mulongo? Yuko wapi sasa hivi? Wanafika nusu ya ubabe wa Muheshimiwa Muhongo hawa? Yuko wapi sasa hivi?
Wadogo zangu jiulizeni maisha yenu na ya familia yenu ya baadae, ubabe hauna mwenyewe huu.
Uliandika kwa lugha sanifu ila sio kwa ufasaha. Kwani hujuwi kutofatisha kati ya kiswahili fasaha na sanifu?Ufasaha wa lugha ipi tena? Nimeandika Kiswahili fasaha au unamaanisha nijibu unavyotaka wewe? Weka jibu basi.