chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
Ndugu Paskali, Arusha ya miaka ya 1980 mwanzo hadi mwisho sijui kama itarudi hakika dunia inaenda mbele hairudi nyuma. Lakini katika historia, kuna nafasi ya watu waliojenga kitu fulani, yapasa wakumbukwe kama nakumbuka vema, RDD wa wakati huo hapa Arusha alikuwa Mr. Kyambwa.Mkuu Chuwa Albert, ulijuaje nawakumbuka RC Chalz Kileo na DC Kasapira?.