Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wakuu poleni na majukumu. Mambo ni mengi , muda ni mchache sana.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge ni kama umri umemtupa sana wa kuendelea kuwa Mtumishi wa Umma. Hajafikisha umri wa kustaafu kweli jamani?
Mbona kama kachoka sana huyu mzee?
Mama Samia tunakuomba utuletee RC Dodoma mwenye nguvu na mawazo chanya ya kukimbizana na maendeleo kama ilivyo kwa wenzetu wa Simiyu , Iringa , Mbeya na Katavi.
Huyu mzee apumzike tu aisee dah!
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge ni kama umri umemtupa sana wa kuendelea kuwa Mtumishi wa Umma. Hajafikisha umri wa kustaafu kweli jamani?
Mbona kama kachoka sana huyu mzee?
Mama Samia tunakuomba utuletee RC Dodoma mwenye nguvu na mawazo chanya ya kukimbizana na maendeleo kama ilivyo kwa wenzetu wa Simiyu , Iringa , Mbeya na Katavi.
Huyu mzee apumzike tu aisee dah!