Wanasema mjini msingi..........Hivi anapata wapi access( financial ) kwa vyanzo vipi vya mapato?...
Mtawaburuza wakina bashite wenzenu tu
Kabisaa tuone kimoja kimeisha na outcome yake ndo aende kwenye nyingineJamaa Ana mipango mingi mizuri ila kabla hajamaliza kashadandia jingine.
1.CCTV DAR.
2.Industrial Area -Zawadi ya Abkaru.
3.Yard Area Kigamboni.
4.Ofisi za walimu.
5.Viwanja kwa watumishi wa Umma.
6.Vitanda hospitali
7.kutibiwa bure
8.walimu daradara free.
9.Kutengeneza magari ya Polisi.
10.Tv kwa magereza nchi nzima
11.Kuondoa mashino kwenye barax2
12...................
Namshauri aanze moja akimaliza aje jingine,kufanya jambo Juu ya jambo ndio kufail kwenyewe.
Zile pesa alizotaka kuzitoa mega Jacob kwa cuf ili wamshughulike lipumba alitaka kutoa wapi?? Kwa vya vipi vya mapato??Hivi anapata wapi access( financial ) kwa vyanzo vipi vya mapato?...
Mtawaburuza wakina bashite wenzenu tu
Ukiona hivyo kuna kila dalili ya kutaka kubadili katiba na kuruhusu wafungwa kupiga kura, kwa Tanzania kura za wafungwa zote zitakua ni mtaji wa ccm wameshaona mtaani Yohana hakubaliki tena kutokana na hali ya maisha hivyo wanahaha kutafuta kura za kuzibia zibiaKwanza aboreshe hali ya magereza na aboreshe hali za askari wa magereza......ziende sambamba na TV set....!! Wanabinya uhuru habari na demokrasia hadi bungeni wanajikomba kwa wafungwa!!! Wale wana madai mengi ya msingi hasa ucheleweshaji kesi na upelelezi wa kipuuzi sio kukos habari....zitawasaidia nini wanasota bila kesi kusikilizwa???? Angeuliza madai yao yenye kipaumbele!! Sifa zingine banaa!!!Bashite jianda akitoka huyo bwana misifa wewe jela