johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,081
- 170,286
Mkuu wa Mkoa wa DSM mh Albert Chalamila amesema Siku ya mkesha wa Kuelekea sikukuu ya Eid Al Aidha watoto Wawili walilawitiwa jijini DSM
Mtoto mmoja ana umri wa miaka 4 na mwingine ana miaka 9
Vyombo vya Dola vinaendelea kuwasaka waliotenda unyama huo
Source Jambo TV
Mtoto mmoja ana umri wa miaka 4 na mwingine ana miaka 9
Vyombo vya Dola vinaendelea kuwasaka waliotenda unyama huo
Source Jambo TV