RC Chalamila: Siku ya mkesha wa Eid Al Adha Watoto wawili Walilawitiwa jijini DSM, Mmoja miaka 4 mwingine 9

Mkuu wa Mkoa wa DSM mh Albert Chalamila amesema Siku ya mkesha wa Kuelekea sikukuu ya Eid Al Aidha watoto Wawili walilawitiwa jijini DSM

Mtoto mmoja ana umri wa miaka 4 na mwingine ana miaka 9

Vyombo vya Dola vinaendelea kuwasaka waliotenda unyama huo

Source Jambo TV
Wanapowabughudhi wauza nyapu matokeo yake ndiyo haya sasa. Watu wana kutu halafu mnawaondolea sehemu za kujihifadhi mnataka waende wapi?
 
Mkuu wa Mkoa wa DSM mh Albert Chalamila amesema Siku ya mkesha wa Kuelekea sikukuu ya Eid Al Aidha watoto Wawili walilawitiwa jijini DSM

Mtoto mmoja ana umri wa miaka 4 na mwingine ana miaka 9

Vyombo vya Dola vinaendelea kuwasaka waliotenda unyama huo

Source Jambo TV
Hatari sana!
 
Duuh sio poa mara paap paroko huku watoto kulawitiwa naona hayo yanayoendelea bongo heri nianze kuchonga mtumbwi nipakie mbuzi ndama na vifaranga watu wanamuuzi Mungu kila kukicha!
 
Back
Top Bottom