Hapana. Hakuna kidogo kidogo katika kuhesabu. Nchi nzima kura zinahesabiwa wakati huo huo mmoja, na pote watakuwa wamekamilisha kuhesabu ikifikia saa mbili usiku hivi. Ni kura chache. Hakuna kituo kinachohesabu zaidi ya kura 500. Kuchelewa kupo katika kujumuisha, maana vituo ni vingi na viko mbalimbali kiasi cha kuhitaji muda kupata taarifa na kuzihakiki.Matangazo ya vituo yataanza kurushwa kidogo kidgo kila siku kadri vituo vinapomaliza kuhesabu. baada ya hapo kunakuwa na majumuisho. so itategemea kasi ya kuhesabu