Brigedia Chan-ocha
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 1,353
- 2,842
Ndiye alisema kwamba "Hakuwai kufikiria kama Rais anaweza kufariki, akamuuliza mke wake au "Mimi ndiye nimekufa"?
Hivi mtu kama huyu ana background gani huko nyuma?Serikali ya hayati magufuli ilijaa watu waajabu sana akiwemo mwendazake
Huyu kimeo amelewa madaraka, ni kama hajawahi kuugua, kuuguliwa na wala hajawahi kufiwa, ni nani anawafanyia vetting watu wa aina hii!!!, hivi hakuna wazee wenye busara ambao wangewasaidia kuchagua cha kusema na kutosema?
Tena kapewa promotion kutoka manispaaa hadi Jiji
CCM nzima imeishiwa watuHuyu kimeo amelewa madaraka, ni kama hajawahi kuugua, kuuguliwa na wala hajawahi kufiwa, ni nani anawafanyia vetting watu wa aina hii!!!, hivi hakuna wazee wenye busara ambao wangewasaidia kuchagua cha kusema na kutosema?
Hivi mtu kama huyu ana background gani huko nyuma?
Yaani kapitaje pitaje mpaka mamlaka za uteuzi zikaanza kumteua.
Unaweza kukuta wateule kwenye"GROUP" lao la "WHATSAPP" wengi wao hawakutegemea kuwepo kwenye mkeka wa awamu ya 6,maana wengi wao walinyanyasa,walidhalilisha na kuvunja sheria,kanuni na taratibu kwa "kutengeneza kiki" wakiwaharibia wengine fursa kwa fitna na dhuluma ya haki za msingi.Mods kwanini mmebadilisha heading yangu? Headinga yangu ilikuwa inasomeka hivi "KUMBE WALIKUWA WANAJUA WANAONGOZA BILA HEKIMA/BUSARA"