RC Anna Mghwira: Upinzani ni jicho la pili la Serikali

sirluta

JF-Expert Member
Nov 28, 2012
6,325
2,486
Upinzani ni jicho la pili la Serikali, hii ni kauli iliyotolewa na mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro mama Anna Mgwihra alipokuwa anahojiwa na shirika la Taifa TBC mapema Leo alipotakiwa kuzungumza chochote kuhusu nafasi ya upinzani kwa serikali na matokeo ya uchaguzi mkuu uliomalizika.

My take:
Kama upinzani ni jicho la pili la serikali, maana yake sasa serikali haina jicho la pili hivyo tuna serikali CHONGO inayotumia jicho moja.

Kwahiyo kila MTU ajue serikali ya awamu ya sita ni serikali chongo.
 
Waache uselfish.. Walipokuwa wanashinda kina Mbowe, walikuwa hawajitoi.. Leo ugali umehama kina Mbowe wanakua na roho ya kwa nini!

Hata wakijitoa, maadam akaunt namba zao zipo, wataendelea kuingiziwa mshahara kwa kipindi chote cha miaka mitano na hakuna uchaguzi ambao umefanyika.
 
Mama ameongea point,lakini wapinzani wameshindwa kabisa kuwashawishi watanzania kama wao nijicho lapili la serikali.
wakipewa nafasi wanafanya mambo ya kitoto.
 
Bila opponents huwezi kujua unapatia wapi na unakosea wapi, na hii ndo msingi wa nyerere kuenzi mfumo wa vyama vingi nchini despite kuwa 80% ya watz waliukataa. Mama kaongea kiutu uzima
Kama vile nawaona akina;
Mbatia
Shibuda
MREMA
Membe
Lipumba

Wakiteuliwa kuziba pengo la upinzani
 
Ni kweli mama lakini naomba nikuulize yule DC wa wilaya ya Hai umeshindwa kumdhibiti?
 
Back
Top Bottom