johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,816
- 141,719
Mwili wa Dr Mengi umewasili katika uwanja wa KIA kwa ndege ya Precision Air.
RC Makonda ni miongoni mwa viongozi wa serikali aliyeongozana na wanafamilia kutoka Dsm na Jerry Muro anaongoza mapokezi hapo uwanjani.
Source Clouds tv mubashara
RC Makonda ni miongoni mwa viongozi wa serikali aliyeongozana na wanafamilia kutoka Dsm na Jerry Muro anaongoza mapokezi hapo uwanjani.
Source Clouds tv mubashara