MartinCoder
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 700
- 629
Stendi ya Kariakoo Gerezani imevamiwa na wamachinga mpaka kero , ni shidddda!!!! Sehemu za Abiria kusimama kwa ajili ya kusubiria daladala zote zimefunikwa na wamachinga pamoja na bidhaa zao. Viti vya kukalia ambavyo ni kwa ajili ya abiria kukaa kusubiri daladala vyote kwa asilimia kubwa wanakalia wamachinga. Rais wa mkoa saidia saidia saidia ! Watafutie sehemu sahihi ya kufanya biashara Hao Jamaa ili waache kutanga tanga like wise kwenye mitaa ya kongo, msimbazi n.k hakupitiki. Gari Kukatiza kwenye mitaa ile ni shida sana. Mpangilio wa City unaelekea kubaya.