kalimanzilajuma
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 323
- 314
Naona kale katabia kameanza kuambukiza.Znz wameona wasibaki nyuma.
Itakuwa ni veoSheha ndio cheo gani huko Zanzibar
Aah kumbe! Oky ahsante kwa mtoa taarifaItakuwa ni veo
Haha yaani mkuu wa mkoa anatumbua VEO ana hayo mamlaka kweli.. Siasa za zenji sizielewiItakuwa ni veo
Mkuu RC Zanzibar anayo Mamlaka hayo tena ni ya kisheria ila mamlaka yanapaswa yatumike vizuriHaha yaani mkuu wa mkoa anatumbua VEO ana hayo mamlaka kweli.. Siasa za zenji sizielewi