OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,715
Clip yenyewe hii hapa
My Take
Watumiaji wa mitandao tuheshimu viongozi wetu
Jamaa ana nidhamu sana kwa mabosi wakeHe he he he
Nilichogundua huyu jamaa ana hekima sana.
Sooooomaaaa hiyooo,.injiniaa,.ila kuna watu si watu wazuri kabisaaa😆😆
Kazidi manjonjo eeeh??Ila na yeye amezidi aisee.
Na kwa akili za jiwe anaweza kum-mind jamaa.
Mkuu okwi umekuwaje siku hizi?Jamaa ana nidhamu sana kwa mabosi wake
Kazidi manjonjo eeeh??
Hahaha Ila ni mtundu Mwanri,.Yes, maana anaongea sana. Na anafurahia video zinavyosambaa.
Kila mara lazima atengeneze scene.
Sooooomaaaa hiyooo,.injiniaa,.ila kuna watu si watu wazuri kabisaaa😆😆
Somaaaa Hiyo.... Engineer somaaaaaaaaaaaaa!
Sijui 6,7....soooooomaaa hiyooo...com oon"😂😂injiniaa atakuponza huyooinjiniaaa soma hyooo..akaasema kumbuka huku tumetoa nchi 1 soma hapo ni ngap injiniaaa
Kuna shida gani mkuu digba sowey
Sijui 6,7....soooooomaaa hiyooo...com oon"😂😂injiniaa atakuponza huyoo