Standards Person
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 673
- 855
Mh. Adam Malima nakupa hongera kwa majukumu ya siku hata siku nikiamini kwamba ushakaribia Tanga na umeanza majukumu yako.
Ninakuasa uwe kama Mh. Anna Mgwira au zaidi yake kwa kutenda haki na kukaripia viongozi wasio kua na utu wala uadilifu kama Sabaya. Mh Mgwira alikemea hadharani vitendo viovu tofauti na Shigela amefika Tanga kuongeza migogoro ya ardhi akipelekwa mzobemzobe na mkurugenzi aliyepo sasa bwana Daudi Mayeji.
Mh. Malima usije ukawa mdhaifu kwa kulambishwa vitu vya Tanga, utajikuta unaonekana kama picha ya mkuu wa mkoa na sio mkuu wa mkoa(kama Shigela na DC wako wa Tanga). Jiji lilikua linaongozwa na Mayeji, Tony wa mipango miji na mwanamke mmoja hivi ambaye anajulikana na ukiuliza utaambiwa kwani ndio mshauri wa mkurugenzi na akimtuma kazi mkurugenzi lazima atekeleze. Usipokua makini mwanamke huyo atatumwa kwako kama kada (yatokee ya Samsoni na Delila kama wenzako)
Mh. Malima maliza migogoro ya ardhi Tanga. Kemea ngono kazini hasa kwahuyo mkurugenzi wa Tanga mjini na wakuu wa taasisi. Mkemee aache uonevu kwa kufukuza waume za watu kazi na kuchukua wake zao. Kemea kukataa kuwapa watu haki zao kwasababu zake binafsi.
Mfuatilie nyendo zake yeye na kikundi chake umshauri vyema Mh. Rais achukue hatua kama ilivyokua kwa Sabaya. Watu wa Tanga baadhi wameumizwa sana na Mayeji. Ikitokea ikaundwa Tume huru ya kumchunguza mkurugenzi huyo, Tanzania itashangaa kwamba Sabaya hakua peke yake.
Tanga waandishi wa habari hawatakiwi hivyo hakuna anayetoa ripoti. Wakitafutwa na waandishi wanawatuliza na habari hazitoki. Shigela na Mayeji waliendana. Angalia usije ukashikiwa akili na Mayeji.
Ninarudia kusema Mh. Malima jipe muda umchunguze vizuri Mayeji na wapambe wake ili uweze kutenda haki. Atakujia na kivuli cha ukada, mkwepe usimuendekeze kwani hata Ummy Mwalimu ameshindwa sio tu kumshuhulikia lakini hata kumkemea.
Karibu sana Tanga Mh. Malima
Ninakuasa uwe kama Mh. Anna Mgwira au zaidi yake kwa kutenda haki na kukaripia viongozi wasio kua na utu wala uadilifu kama Sabaya. Mh Mgwira alikemea hadharani vitendo viovu tofauti na Shigela amefika Tanga kuongeza migogoro ya ardhi akipelekwa mzobemzobe na mkurugenzi aliyepo sasa bwana Daudi Mayeji.
Mh. Malima usije ukawa mdhaifu kwa kulambishwa vitu vya Tanga, utajikuta unaonekana kama picha ya mkuu wa mkoa na sio mkuu wa mkoa(kama Shigela na DC wako wa Tanga). Jiji lilikua linaongozwa na Mayeji, Tony wa mipango miji na mwanamke mmoja hivi ambaye anajulikana na ukiuliza utaambiwa kwani ndio mshauri wa mkurugenzi na akimtuma kazi mkurugenzi lazima atekeleze. Usipokua makini mwanamke huyo atatumwa kwako kama kada (yatokee ya Samsoni na Delila kama wenzako)
Mh. Malima maliza migogoro ya ardhi Tanga. Kemea ngono kazini hasa kwahuyo mkurugenzi wa Tanga mjini na wakuu wa taasisi. Mkemee aache uonevu kwa kufukuza waume za watu kazi na kuchukua wake zao. Kemea kukataa kuwapa watu haki zao kwasababu zake binafsi.
Mfuatilie nyendo zake yeye na kikundi chake umshauri vyema Mh. Rais achukue hatua kama ilivyokua kwa Sabaya. Watu wa Tanga baadhi wameumizwa sana na Mayeji. Ikitokea ikaundwa Tume huru ya kumchunguza mkurugenzi huyo, Tanzania itashangaa kwamba Sabaya hakua peke yake.
Tanga waandishi wa habari hawatakiwi hivyo hakuna anayetoa ripoti. Wakitafutwa na waandishi wanawatuliza na habari hazitoki. Shigela na Mayeji waliendana. Angalia usije ukashikiwa akili na Mayeji.
Ninarudia kusema Mh. Malima jipe muda umchunguze vizuri Mayeji na wapambe wake ili uweze kutenda haki. Atakujia na kivuli cha ukada, mkwepe usimuendekeze kwani hata Ummy Mwalimu ameshindwa sio tu kumshuhulikia lakini hata kumkemea.
Karibu sana Tanga Mh. Malima