Ukitoroka gerezani unatafutwa miaka 99 toka siku ya kutoroka. Ule mwaka wa 100 hata ukienda mpaka kwenye lango la gereza hakuna wa kukuhoji. Ila kuhusu kesi zingine sijui. Niliambiwa na askari magereza mmoja hivi jirani yangu
Ukitoroka gerezani unatafutwa miaka 99 toka siku ya kutoroka. Ule mwaka wa 100 hata ukienda mpaka kwenye lango la gereza hakuna wa kukuhoji. Ila kuhusu kesi zingine sijui. Niliambiwa na askari magereza mmoja hivi jirani yangu
Unaweza hama nchi, lakini usihamie nchi yenye mkataba wa kubadirishana watuhumiwa na Tanzania.
Au kajibadirishe sura na alana za vidole upate utambulisho mpya, kuna nchi hazina uwezo wa kubaini watuhumiwa waliojibadirisha sura na kuharibu alama za vidole. Hivyo unaweza kuwa salama kwa namna hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.