Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,082
- 13,959
Hivi hiyo kampuni ya tigo ina nini kushinda kampuni zingine.mzuri sana wa kula tigo huyu
Hivi hiyo kampuni ya tigo ina nini kushinda kampuni zingine.mzuri sana wa kula tigo huyu
Hawa watu wameanza date hata kabla rayvanny hajawa rayvanny hata kabla wewe hujamfahamu
Heee amina yule dada ake fahimaWeweee usidanganye umma wameanza kudate baada ya vanny kuwa maarufu kabla ya hapo fahma alikua mdangaji na lynn na amina
Hahaha wapeleke gymSijawahi kupata demu mkali kama huyu. Naishia kula mijimama tu mitumbo kama viroba
Wife wangu huyu hapa na namruhusu avae anavyotaka. Na ana heshima by far kuliko mademu wangu wanaovaa madera au magauni ya kwanya. View attachment 1158614
Ndugu yangu mbona unashangaa😂😂Aisee