Kipepeo wa chuma1
JF-Expert Member
- Jan 17, 2021
- 387
- 557
Chawa premium 🤣🤣Chawa katika ubora wako wa hali ya juu...
Chawa premium 🤣🤣Chawa katika ubora wako wa hali ya juu...
Harmonize pesa alizonazo ametoa wapi?Ndani ya Wcb msanii mwenye pesa ni boss wao tu. Wengine wanaambulia umaarufu tu. Ukiwa chawa tu wa Wcb lazima uwe maarufu sembuse msanii mkwanja wako sawa na wakina gigy money .
Kalo ndio Nini? Kumbe mashabiki wa WCB hawajui kuandika Kama CEO waoJuu ya kalo
Kabisa mkuu right wangekua wanapata airtime ktk media zingine wangekua mbali sana na wangepata kolaboleshion za kutoshaHaya mambo ya kutegemea airtime kwenye radio moja tu yanaumiza sana....
Amini hivyo mkuuKweli mkuu unaongea usichokijua!
Kama harmonizeLava Lava asijetoka WCB atapotea kabisa
Wasanii ambao wanapata airtime na media zingine wangekuwa na Mafanikio makubwa kuliko Wcb ningekuelewa unachoongea tofauti na hapo sikuelewi.Kabisa mkuu right wangekua wanapata airtime ktk media zingine wangekua mbali sana na wangepata kolaboleshion za kutosha
Lets say unakuta Mario anataka kufanya kolabo na Mondi akifikiria mond apigwi clouds wa chaneli5 hivyo anaona bora aache
Kuna kipindi mondi alipata kolabo na wasanii wengi sana na ile ilikua kwasababu anapigwa clouds na eatv sasa angalia kwasasa hana kolabo nyingi sana wasanii wanaogopa kufanya naye kolabo kutokana na yeye haelewani na baadhi ya media
Hivi unafikiri Mboso kwa hit song alizotoa zile angeshindwa kupata kolabo kutoka kwa wasanii wa ndani kama vile Nandi, Darasa, marioo, Barnaba na wengine wengi ila wanamuogopa kutokana na lobo aliyokua nayo haina mahusiano mazuri na media zingine, Diamond anaakili Sana kuanzisha media yake bila hivyo alikua anakufa chali.
Unaandika kama umelewa vileHawezi kusema ila moyoni Dogo anaumia sana, Mkataba wake na Wcb ni unyonyaji wa hali ya juu 70% yote ni ya Boss yeye anabakiwa na 30%
Unamsikiliza huyu ndezi ambae hajui anaongea nini!inamaana wakati anasini ule mkataba alikuwa kafumba macho? hakusoma chochote?
Mi naona wasanii wa WCB ndo Wana mafanikio kuliko hata hao wanaopewa airtime na media zote ....Konde boy mwenyewe anapewa airtime lakn naona kama anategemea Sana msuguano na WCB ili asikike......labda Nandy na King Kiba , Kiba mwenyewe ni upepo wa Mond ..... Kuna wakat Wasanii walikuwa wanadai kutamani kupata managers wa kufanya promo kama WCB inavyofanya ..... Ila WCB wamejitosheleza mpak sa hviKabisa mkuu right wangekua wanapata airtime ktk media zingine wangekua mbali sana na wangepata kolaboleshion za kutosha
Lets say unakuta Mario anataka kufanya kolabo na Mondi akifikiria mond apigwi clouds wa chaneli5 hivyo anaona bora aache
Kuna kipindi mondi alipata kolabo na wasanii wengi sana na ile ilikua kwasababu anapigwa clouds na eatv sasa angalia kwasasa hana kolabo nyingi sana wasanii wanaogopa kufanya naye kolabo kutokana na yeye haelewani na baadhi ya media
Hivi unafikiri Mboso kwa hit song alizotoa zile angeshindwa kupata kolabo kutoka kwa wasanii wa ndani kama vile Nandi, Darasa, marioo, Barnaba na wengine wengi ila wanamuogopa kutokana na lobo aliyokua nayo haina mahusiano mazuri na media zingine, Diamond anaakili Sana kuanzisha media yake bila hivyo alikua anakufa chali.
Yaani kwa muziki wa alikiba anaofanya na kunatokea mtu anasema ukubwa wake unamtegemea Diamond,basi huna budi ya kumuona huyo mtu kama ni "mshamba"..Mi naona wasanii wa WCB ndo Wana mafanikio kuliko hata hao wanaopewa airtime na media zote ....Konde boy mwenyewe anapewa airtime lakn naona kama anategemea Sana msuguano na WCB ili asikike......labda Nandy na King Kiba , Kiba mwenyewe ni upepo wa Mond ..... Kuna wakat Wasanii walikuwa wanadai kutamani kupata managers wa kufanya promo kama WCB inavyofanya ..... Ila WCB wamejitosheleza mpak sa hvi
Kahongwa na mzungu.Harmonize pesa alizonazo ametoa wapi?
Mafanikio ni pesa, unataka kunambia rayvany ana pesa kushinda aslay ?Wasanii ambao wanapata airtime na media zingine wangekuwa na Mafanikio makubwa kuliko Wcb ningekuelewa unachoongea tofauti na hapo sikuelewi.
Au DarasaMafanikio ni pesa, unataka kunambia rayvany ana pesa kushinda aslay ?
Shida zako zisikutoe akiliHawezi kusema ila moyoni Dogo anaumia sana, Mkataba wake na Wcb ni unyonyaji wa hali ya juu 70% yote ni ya Boss yeye anabakiwa na 30%
Kwa hayo mafanikio waliyokuwa nayo right wangepatana na media nyingine ingekua ni zaidi ya hayo unayoyaona mkuuMi naona wasanii wa WCB ndo Wana mafanikio kuliko hata hao wanaopewa airtime na media zote ....Konde boy mwenyewe anapewa airtime lakn naona kama anategemea Sana msuguano na WCB ili asikike......labda Nandy na King Kiba , Kiba mwenyewe ni upepo wa Mond ..... Kuna wakat Wasanii walikuwa wanadai kutamani kupata managers wa kufanya promo kama WCB inavyofanya ..... Ila WCB wamejitosheleza mpak sa hvi
Hapo Sasa.Au Darasa