RayVanny: Nitafanya Kolabo na Ali Kiba

sifikirii kama dogo akifanya na ali kiba. bifu la kiba libaki la wao wawili lisiwadhuru mpaka wengine.
 
Kama kawaida yao bila kumtaja taja King wanaona hawapati Kiki kabisa.

akacheze anapochezaga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom