Rayvanny ndio Mangwea wa kizazi hiki cha muziki

Data and numbers don't lie

Mkuu ebu kuwa specific unavyosema data na numbers, which algorithms are you reffering to ? Kama ndio numbers tu mnaangalia basi soulja boy ni mkali kuliko hata diamond right ? manake ni mkali kuliko msanii yeyote tanzania si ndio ? ana platnum selling singles and he is richer than any artist in Tz sasa me sidhan kama anamzid diamond uwezo kwene mziki, ila tu mazingira ndio yamembeba...
 
Endelea kukaza fuvu
Facts don't lie kama hips tu....na kitu kizuri kuhusu ukweli ni kwamba hata usipokubaliana nao au ukakubaliana nao wenyewe utabaki pale tu.

" Coz mi ni mi hatuwezi kuwa pair,na hata nikifa leo pengo langu halina spare" (Ngwair..120)

Hiyo line hapo juu bado ipo valid to date.
 
Facts don't lie kama hips tu....na kitu kizuri kuhusu ukweli ni kwamba hata usipokubaliana nao au ukakubaliana nao wenyewe utabaki pale tu.

" Coz mi ni mi hatuwezi kuwa pair,na hata nikifa leo pengo langu halina spare" (Ngwair..120)

Hiyo line hapo juu bado ipo valid to date.
Hzi mindset ndo zilimfanya Ngwear akafa kwenye ufukara mkubwa
 
Hivi wakati kina Jaydee, Juma Nature, C pwaa waingia tuzo Channel O na nyimbo zao kupigwa MTV Base Ngwair alikuwa wapi?
Tatizo letu watanzania ni wanafki na washirikina sana. Ngwair toka akiwa hai sijawahi sikia anaitwa msanii mkali kutokea Bongo na hajawahi kuwa hata top 5 ya hao wasanii wakali wa kipindi chake.

Tuache unafki wa kujidai tunawapenda sana marehemu, wakati wakiwa hai hawapati sifa hizo.

SIMFANANISHI RAYVAN NA HUYO MAREHEMU, LAKINI KUJIDAI HATUKUBALI UWEZO WA RAYVAN NI KUUKOSEA HESHIMA MUZIKI WA TANZANIA.

Nimalizie kwa kusema MITANO TENA.
 
Yaan chawa wa WCB wakipewa bundle tyuuh, bas akili zao zinahama. Hivi kweli huyu mnyakyusa anaweza kumfikia ngwair kwa lolote?
Tobaaaah wee, kwan kuna ulazima gan kuwashindanisha au kuwafananisha wasanii wenu na wa nje. Na bado hai match aaaaah
Jamani tumechoka mapambio yenu yasiokua na maana. Msieeeeew.
ukipinga pinga kwa fact siyo bora umepinga haileti maana.
 
View attachment 1718451

Nataka tumzungumzie kidogo huyu fundi muziki kutoka WCB yaani Rayvanny aka Chui.

Rayvanny ni msanii anaeujua muziki haswa na anaweza kuufanya muziki vile anavyotaka. Kipaji chake sio cha nchi hii naweza kusema yupo mbele ya wakati.

Anaweza kufanya aina mbali mbali za muziki na akaua.

Anaweza kurap (msikilize kwenye Sugu au Pochi nene)

Anaweza kuimba muziki wa hisia ( msikilize kwenye ex boyfriend au vumilia)

Anaweza kuimba afro pop ( msikilize kwenye Kwetu au Number one)

Anaweza kuimba banger ( msikilize kwenye Gimme dat, Chuchumaa, Amaboko au Tetema)
Anaweza kuimba RnB, singeli mpaka rhumba ( sikiliza ufundi wa rhumba kwenye Kiuno)

Rayvanny anaweza kufanya freestyle toka Mbeya mpaka Pretoria uku anazingatia vina, mizani na context.

Hii package nakumbuka alikuwa nayo Albert Mangwea (RIP).

Nimeona nimzungumze kidogo maana sio msanii anaezungumzwa sana na wadaku japo anauza sana muziki wake (Ndio msanii number 2 kwa kuuza sana muziki east africa). Maana yake watu wanampenda na kumfatilia kwa sababu ya muziki sio drama za insta, wengi wetu hatujui hata gari anayoendesha Ray inafananaje, hatujui anaishi wapi hatujui sura za wazazi wake sisi tunainjoi mziki mzuri toka kwake.

Japo mara chache alizoingia kwenye scandal nchi uwa inasimama ( refer scandal wimbo wa Nyegezi na ya mpenzi wake Paula mpaka serikali ilitoa tamko).

Nafikiri kwa talent aliyonayo tupo sahihi kabisa kusema Vanny Boi ndio Ngwea wa kizazi hiki.
mbona huyo demu ana ndevu
 
Sidhani kama Tanzania tutapata Ngwair mwingine.

Toka Bongo muziki uanze, hakuna msanii aliyetoa album unayoweza kusikiliza nyimbo zote isipokuwa Ngwair.
zipo album kibao ambazo uwezi skip acha kukuza vitu
 
Unataka data gani mkuu ? data ndio ushahidi ? sijaelewa , where do i get those data ? how do i compare them ? Ukitaka uwiano wa data hapo ngwair atashinda sababu kuna kitu hujaenda sana deep, tukitaka tulete uwiano wa data za huko kwene mainternet ni lazima tuangalie na revolution ya internet yenyewe na Muziki ngwair kaanza siku nyingi na platform nyingi za kuutambulisha mziki zimeanza 2007 kwenda juu, yan hebu angalia hizi platform unazozitegemea tukachukue data zimeanza lini

2015 apple music started,
spotify ya wasweden imeanza 2006,
tidal imeanza 2014,
you tube 2005,
boom play imeanza 2015..

Na kilicholeta mapinduzi ya kweli ni ANDROID sasa imeanza lini ? September 23, 2008 so ebu fikiria mkuu, hiz platform zote wakati zinaanza NGWAIR ALIKUWA ASHAWASHA SANA MOTO NA CASSETTES alikuwa tayari ana album zinafanya vizuri, kina rayvan wanaimba kweli ila washukuru sana technolojia mkuu
rayvanny ana tuzo ya BET, ngwea ana tuzo gani? kulikuwa na kola, chanel o

msitake tufike huko jamani nilichosema wote wakali kuna angle nyingi wanafanana sijashindanisha
 
Back
Top Bottom