Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,691
- 5,451
Rayvanny ni moja ya wasanii wa Bongo Fleva wanaokuwa wanafanya vizuri sana kwenye kiwanda chetu cha muziki.
Nakung'ata sikio Ray muziki unaoimba sasahivi unakupoteza, umetoa nyimbo zaidi ya tano hakuna hata moja iliyo hiti hii siyo kawaida yako.
Umepotea kabisa kwenye platform mbalimbali ambazo ulikuwa unakimbiza awali.
Kipaji unacho nguvu unazo kazi kwako kukiendeleza.
Nakung'ata sikio Ray muziki unaoimba sasahivi unakupoteza, umetoa nyimbo zaidi ya tano hakuna hata moja iliyo hiti hii siyo kawaida yako.
Umepotea kabisa kwenye platform mbalimbali ambazo ulikuwa unakimbiza awali.
Kipaji unacho nguvu unazo kazi kwako kukiendeleza.