Hii ngumu kutumika.. isipokuwa kuna mtu atapata anachotaka.. soonKifuatachooo
View attachment 1705333
Pfunk amechanganyikiwa yanii yule kwa nje ya nchi nae Mondi anamkata Hapana aisee hili ni pigooo kugongewaa mke mpaka watoto.... na hawawaoiiteam zipo kazini, zinavuruga familia ya mtu na mamaye.
Vanny boy katangaza ndoa chief ... Konde boy ndo analeta kiwinguPfunk amechanganyikiwa yanii yule kwa nje ya nchi nae Mondi anamkata Hapana aisee hili ni pigooo kugongewaa mke mpaka watoto.... na hawawaoii
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Panya anayengata na kupuliza🤣🤣🤣🤣
😀😀😀😀.. kazingua sana panya 1000.. amekela sana..Panya anayengata na kupuliza🤣🤣🤣🤣
SawaahWewe imeandikwa mkubwa atamtumikia mdogo
khaaaaahPfunk amechanganyikiwa yanii yule kwa nje ya nchi nae Mondi anamkata Hapana aisee hili ni pigooo kugongewaa mke mpaka watoto.... na hawawaoii
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Sallam sk ni kiboko yake, anamfahamu, hapendag masinichi yule mwamba. Angekuwa rafk yng nahis tungeivana sanaaaaa, hata mm sipendag masinichi ata kidg 🤣🤣🤣🤣😀😀😀😀.. kazingua sana panya 1000.. amekela sana..
Harmo mavi itakuwa ataka aoleye yeye labda.. au alitaka dogo Ibra ndip ajiweke pale.. ana akili za kiwaki sanaVanny boy katangaza ndoa chief ... Konde boy ndo analeta kiwingu
Snitch sio mtu.. maana anauma na kupuliza. Kama Huyo Harmo mavi, anaenda polisi anasaga kunguni ili jamaa awekwe ndani, alafu kanatoka hapo kanaenda kweye media kujiosha, mtu wa hivyo hafai hata kidogoSallam sk ni kiboko yake, anamfahamu, hapendag masinichi yule mwamba. Angekuwa rafk yng nahis tungeivana sanaaaaa, hata mm sipendag masinichi ata kidg 🤣🤣🤣🤣
Watu wakapiga juu kwa juu 😀😀😀Itakuwa ni Ibra alitaka amtengenezee kiki ,..... Ngoma ikabounce 😀😀
Mjinga sana huyu mwamba, yani baba mzazi katulia, wewe unaenda kama nani??? Majitu mengine bana😆Snitch sio mtu.. maana anauma na kupuliza. Kama Huyo Harmo mavi, anaenda polisi anasaga kunguni ili jamaa awekwe ndani, alafu kanatoka hapo kanaenda kweye media kujiosha, mtu wa hivyo hafai hata kidogo
😀😀😀 atajua hajui tu.. Salam_Sk ata deal nae vizuri tu, hadi ataomba poooNa bado kwenye sakata hili inaandaliwa Kiki makini Sana , af linaachiwa goma litambae
Roho mbaya tu zile.. baadae apambane na hali zakeMjinga sana huyu mwamba, yani baba mzazi katulia, wewe unaenda kama nani??? Majitu mengine bana😆
Jinga sana lile jamaa 🤣🤣🤣🤣Roho mbaya tu zile.. baadae apambane na hali zake