Rayvanny aweka video mtandaoni akiwa mahabani na Paula mtoto wa Kajala, Hamisa Mobetto adaiwa kuhusika kumlewesha na kumrubuni

Nimeona habari na video mitandaoni zikisema Rayvanny ana mahusiano ya kimapenzi na Paula mtoto wa kajala. Nijuavyo ni kuwa Paula alifeli form four wazazi wake wakamrudisha shule akawa anarisiti huku anasoma five na six, hivyo habari hizi za rayvanny zimenishtua kidogo. Vipi Paula ameacha shule? Na Kama bado anasoma kudate wanafunzi ni kosa linaloweza kumpeleka mtu jela miaka 30.

Na hata Kama ameacha shule bila shaka atakuwa underage huyo Paula ambapo pia ni statutory rape chini ya sheria kutembea na msichana chini ya miaka 18.

NB: Mamlaka zilifuatilie hili swala na ikibainika Kuna jina zichukue hatua stahiki, yaani sheria ifuate mkondo wake wasanii ni vioo vya jamii hivyo wanapaswa kuwa wa mfano watoto waachwe wasome kwanza.

Mwanakulifind mwanakuliget ,muda utaongea.
 
Sasa atafanya nini wakati mama mwenyewe nae dish lishayumba.

Ila ndio wanasema malipo hapa hapa duniani huyu mwenyewe P Funk alimtorosha Kajala kipindi yupo Form 3 wiki nzima wazazi wake Kajala wana hangaika kumtafuta mtoto wao,yeye yupo nae getho anajipigia.
Majani mhuni aliwahi kumrekodia nyimbo Chameleon akazengua kumlipa. Alipanda ndege mpaka Kampala na alimnasa Chameleon vibao nyumbani kwake.
 
Nimeumia kama mama mwenye watoto wa kike na kiume, nna uhakika Kajala pia anaumia... hakuna mama angependa mwanae apitie magumu aliyopitia yeye

Anachopitia P.Funk sasa ni kile alichowapitisha wazazi wa Kajala wakati Kajala akiwa na umri sawa Paula alionao sasa





Hakuna kitu utakachofanya kiwe kizuri au kibaya kisikurudie

Mungu amnusuru huyu mtoto. Bado ni mdogo sana kwa vitu hivi tena kwenye mitandao

Sizani Kajala kama anaumia yeye mwenyewe hajiheshim,hatukatai kuwa na mahusiano lkn si kila mahusiano yako mtoto wako ayajue,mf kipindi cha nyuma anadate na Quick Racka kuna clip moja alijirekodi wanakula denda,sasa kama mzazi unamfundisha nini mtoto.
 
Nimeumia kama mama mwenye watoto wa kike na kiume, nna uhakika Kajala pia anaumia... hakuna mama angependa mwanae apitie magumu aliyopitia yeye

Anachopitia P.Funk sasa ni kile alichowapitisha wazazi wa Kajala wakati Kajala akiwa na umri sawa Paula alionao sasa





Hakuna kitu utakachofanya kiwe kizuri au kibaya kisikurudie

Mungu amnusuru huyu mtoto. Bado ni mdogo sana kwa vitu hivi tena kwenye mitandao
Leo umeongea Point sana kama vile siyo Mataga, kula like 5. Uko sahihi mkuu
 
Naamini hiyo ni project lakini maswali ni mengi sana juu ya huyo paula.... kumuweja kwenye spotlight imemharibu zaidi akipata likes 1000 basi anaona ameishakuwa star hapo concentration kwenye masomo inapungua mwisho alizingua......

Wazazi walimfichia ule uozo wa video iliyovuja, ukweli unajulikana yule ni yeye paula....na hata ukimsikiliza P-funk december analalamika ila anashindwa kusema kajala malezi ya paula yamemshinda.....

maana mmekubaliana mtoto asipewe simu ila kajala anampa simu na kumuitia vijana wa photoshot wampige picha aweke instagram......

amefunga comment zake instagram sababu hawezi vumilia kuwa pressurised na watu, hapohapo mama unamruhusu akatengeneze kiki na kina rayvanny......Pfunk alisema mtoto ameshindikana paupa akamjibu baba ake......

All in all malezi ni kazi sana tena sana hasa kwa zama hizi na zinazokuja......najiuliza kina Ummy mwalimu wamewezaje hili maana anamabinti warembo sana na wapo very good darasani na nyumbani.
 
Nimeumia kama mama mwenye watoto wa kike na kiume, nna uhakika Kajala pia anaumia... hakuna mama angependa mwanae apitie magumu aliyopitia yeye

Anachopitia P.Funk sasa ni kile alichowapitisha wazazi wa Kajala wakati Kajala akiwa na umri sawa Paula alionao sasa





Hakuna kitu utakachofanya kiwe kizuri au kibaya kisikurudie

Mungu amnusuru huyu mtoto. Bado ni mdogo sana kwa vitu hivi tena kwenye mitandao

Bado ni mdogo?????

Wahuni hawaangalii utoto, Wahuni wanaangalia kama mkopo mkubwa unapita wanabomoa tu.
 
Naamini hiyo ni project lakini maswali ni mengi sana juu ya huyo paula.... kumuweja kwenye spotlight imemharibu zaidi akipata likes 1000 basi anaona ameishakuwa star hapo concentration kwenye masomo inapungua mwisho alizingua......

Wazazi walimfichia ule uozo wa video iliyovuja, ukweli unajulikana yule ni yeye paula....na hata ukimsikiliza P-funk december analalamika ila anashindwa kusema kajala malezi ya paula yamemshinda.....

maana mmekubaliana mtoto asipewe simu ila kajala anampa simu na kumuitia vijana wa photoshot wampige picha aweke instagram......

amefunga comment zake instagram sababu hawezi vumilia kuwa pressurised na watu, hapohapo mama unamruhusu akatengeneze kiki na kina rayvanny......Pfunk alisema mtoto ameshindikana paupa akamjibu baba ake......

All in all malezi ni kazi sana tena sana hasa kwa zama hizi na zinazokuja......najiuliza kina Ummy mwalimu wamewezaje hili maana anamabinti warembo sana na wapo very good darasani na nyumbani.
Ummy mwalimu sio msanii
 
Back
Top Bottom