joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,108
- 31,679
P Funk hata haja changanyikiwa na ndio maana hata polisi hajaenda,kamwachia mama,paula na baba wa kufikia Kondeboy wahangaike na kesi.Pfunk amechanganyikiwa yanii yule kwa nje ya nchi nae Mondi anamkata Hapana aisee hili ni pigooo kugongewaa mke mpaka watoto.... na hawawaoii
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Kaamua kukaa pembeni haya yaliyo tokea leo aliya ongea kipindi cha nyuma,kaamua kukaa pembeni.
Yule wa nje P Funk alidai ni biashara aliongea mwenyewe hamna huusiano wowote na Mondi.