gonamwitu
JF-Expert Member
- Feb 16, 2018
- 703
- 707
Ahlan wasahlan wanajamvi,
Wazima ninyi? Hopefully wote wazima.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Honestly speaking, Rayvanny ndiyo almasi pekee iliyobakia WCB, kivipi?
Twende kazi...
1. Rayvanny ni msanii ambaye ni 'complete package', ana uwezo wa kuandika kuliko wasanii wote waliobakia WCB; ana uwezo wa kufanya zaidi ya aina moja ya muziki; anaweza kurap; anaweza kuimba nyimbo zote - reggae, dancehall, afro fusion na bongofleva.
2. Rayvanny ni msanii mwenye uwezo wa kutengeneza wimbo mzuri na ukapenya international compared na wale maustadh wawili, Mbosso na mdogo wake Lavalava.
3. Rayvanny ndio msanii pekee WCB ambaye ameweza kuwa nominated kwenye tuzo kubwa ndani na nje ya Afrika na kushinda mojawapo ya tuzo. That means anaeleweka na watu wanapenda muziki wake, even outside of Tanzania.
N.B: Mbosso na ustadh mwenzie Lavalava hawana muziki wa kupenya duniani; hawana ubunifu zaidi wa kufanya muziki wa tofauti compared to Vanny. They are local based artist, so Vanny is the only diamond left in WCB.
"Chegando mi ahora Tanzaniana"
Wazima ninyi? Hopefully wote wazima.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Honestly speaking, Rayvanny ndiyo almasi pekee iliyobakia WCB, kivipi?
Twende kazi...
1. Rayvanny ni msanii ambaye ni 'complete package', ana uwezo wa kuandika kuliko wasanii wote waliobakia WCB; ana uwezo wa kufanya zaidi ya aina moja ya muziki; anaweza kurap; anaweza kuimba nyimbo zote - reggae, dancehall, afro fusion na bongofleva.
2. Rayvanny ni msanii mwenye uwezo wa kutengeneza wimbo mzuri na ukapenya international compared na wale maustadh wawili, Mbosso na mdogo wake Lavalava.
3. Rayvanny ndio msanii pekee WCB ambaye ameweza kuwa nominated kwenye tuzo kubwa ndani na nje ya Afrika na kushinda mojawapo ya tuzo. That means anaeleweka na watu wanapenda muziki wake, even outside of Tanzania.
N.B: Mbosso na ustadh mwenzie Lavalava hawana muziki wa kupenya duniani; hawana ubunifu zaidi wa kufanya muziki wa tofauti compared to Vanny. They are local based artist, so Vanny is the only diamond left in WCB.
"Chegando mi ahora Tanzaniana"