Raymond hayupo kwenye nominations za mwaka huu BET awards. Au ni bando zangu zimeexipaya?

Mzingo

JF-Expert Member
Nov 2, 2014
4,447
9,631
Nimegugo hizo tuzo za mwaka huu.
Huyu Ray sijamuona sio kwa waliotajwa kushindaniwa wala walioshinda.

Au kuna tuzo nyingine zenye jina BET? Nielewesheni.
 
Mkuu haupo sawa kabisa...
d9a5b940604017a272326e450aea4318.jpg
 
Nimegugo hizo tuzo za mwaka huu.
Huyu Ray sijamuona sio kwa waliotajwa kushindaniwa wala walioshinda.

Au kuna tuzo nyingine zenye jina BET? Nielewesheni.
Tatizo lako kichwa chako kinaona kuwa "kiba ana sauti nzuri kuliko Mariah kelly" kwa akili kama hiyo HUTOELEWA HATA UKIELEWESHWA NA KUONYESHWA.
 
Nimegugo hizo tuzo za mwaka huu.
Huyu Ray sijamuona sio kwa waliotajwa kushindaniwa wala walioshinda.

Au kuna tuzo nyingine zenye jina BET? Nielewesheni.
Ulitumia Google ipi hadi ukakosa jina la Raymond haidhuru hata kama hukutumia jina la Rayvanny wakati wa ku-search??!!
 
Labda Google wamekufanyia makusudi tu, next time uwape kitu kidogo.
 
Back
Top Bottom