Ray C vs Lady Jay Dee vs Enika vs Nandy nani bora katika kilele chake cha usanii?

Sasa Nandy hapo anaingiaje

Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Pengine tungedadisi umri wa mtoa mada

Jide, Enika, Ray C

Hawa kwa jinisia; muziki wao ufuatwe na wanamuziki na vocalist wenzao kama Ruby na Mau Sama, Nandy ni msanii, usimuweke hilo kundi

H2O ni uhai, H2 au O ni kifo, Nandy ni miongoni mwa H2 au O, Mawing wanalazimisha awe maji ni uhai.
 
Toa Enika na Nandy weka Zuchu.
Jina lako halisadifu maoni yako, of all the musician, Zuchu???

Ajaribu taarabu, anaweza kutubamba kama watangulizi wake Kopa na sijui nani nani Khamisi Kidogo, wape vidonge ...gwange mob ni wakali tena hawana mpinzani, 1999/2000 hiyo.

Ila hilo kundi la bila matusi hakuna nyimbo, sanaa yake itaishi kwa wavaa jinsi za kuchanika na kubana chini tu, hawa wakibadilika na kelele zake zimeisha, luckily govt inasaidia kuhakikiasha wajinga hawapungui miaka nenda rudi
 
Jina lako halisadifu maoni yako, of all the musician, Zuchu???

Ajaribu taarabu, anaweza kutubamba kama watangulizi wake Kopa na sijui nani nani Khamisi Kidogo, wape vidonge ...gwange mob ni wakali tena hawana mpinzani, 1999/2000 hiyo.

Ila hilo kundi la bila matusi hakuna nyimbo, sanaa yake itaishi kwa wavaa jinsi za kuchanika na kubana chini tu, hawa wakibadilika na kelele zake zimeisha, luckily govt inasaidia kuhakikiasha wajinga hawapungui miaka nenda rudi
Kweli wcb Kuna watu wengi mnawaumiza vichwa.
 
Back
Top Bottom