Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,381
- 24,978
Yaani zuchu umfananishe na jide?? Au ray c?? Nyinyi chawa wa dabliyu sibi hamna adabu hata kidogoToa Enika na Nandy weka Zuchu.
Yaani zuchu umfananishe na jide?? Au ray c?? Nyinyi chawa wa dabliyu sibi hamna adabu hata kidogoToa Enika na Nandy weka Zuchu.
Nagongea misumari hapa.... Ruby ni jini mtuVocally Ruby is better than Enika and Nandy
😂😂 Jini mtuNagongea misumari hapa.... Ruby ni jini mtu
Pengine tungedadisi umri wa mtoa mada
Jina lako halisadifu maoni yako, of all the musician, Zuchu???Toa Enika na Nandy weka Zuchu.
Kweli wcb Kuna watu wengi mnawaumiza vichwa.Jina lako halisadifu maoni yako, of all the musician, Zuchu???
Ajaribu taarabu, anaweza kutubamba kama watangulizi wake Kopa na sijui nani nani Khamisi Kidogo, wape vidonge ...gwange mob ni wakali tena hawana mpinzani, 1999/2000 hiyo.
Ila hilo kundi la bila matusi hakuna nyimbo, sanaa yake itaishi kwa wavaa jinsi za kuchanika na kubana chini tu, hawa wakibadilika na kelele zake zimeisha, luckily govt inasaidia kuhakikiasha wajinga hawapungui miaka nenda rudi
Jini mtu
KwakweliEeeh dadaaaaa... Ana balaa sema kiburi kinamponza
Aibu nimeona mimiToa Enika na Nandy weka Zuchu.
vipi kishundu kipo?Jamani Nancy wenu nimembambia juzi pestana
Aah wapi ni kama unabambia ukuta tuvipi kishundu kipo?