Nilisikia Ray alivyoongea. Nadhani bwana mdogo hana washauri ukishakuwa ''staa'' namna hiyo na ukubwa wa tuhuma hakupaswa kujibu vile. Maana yeye katuhumiwa kumuua Kanumba bali ya kujibu hoja kirahisi vile na kumshambulia mtoa tuhuma alitakiwa ajibu na kuonyesha kiasi gani yule dada ni mwongo....a justify kwanini hauhusiki na kifo kile. Kwenye posti ile ya Rutta tuliuliza hayo maswali ilikuwaje baadhi ya wasanii wafike nyumbani kwa Kanumba usiku ule?
Ray siku nyingine sio lazima uongee radio moja kwa moja kaa na watu andika maelezo yako kisha uyasome kuliko ulivyofanya jana......argumentum ad hominem
Ray siku nyingine sio lazima uongee radio moja kwa moja kaa na watu andika maelezo yako kisha uyasome kuliko ulivyofanya jana......argumentum ad hominem