Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 40,598
- 52,297
siyo maalum kihivyo
itakuwa waliibiwa picha kwenye simu,
na kupelekwa gazetini,
bongo ukikosea kidogo tu umeliwa.
itakuwa waliibiwa picha kwenye simu,
na kupelekwa gazetini,
bongo ukikosea kidogo tu umeliwa.
Nadhani kwa uelewa wangu hiyo habari na picha ray na huyo mchuchu wameamua kufanya kwa makubaliano maalumu yenye ujira maalumu. Si unaona hilo pozi nalo ni maalumu? Au unajifanya hujui pozi la fumanizi lilivyo na umaalumu wake? No sex intercoz there.