Damianjamii
Member
- Sep 20, 2016
- 6
- 2
Mkuu LEGE samahani kidogo, ni hivi nataka nikachukue gari (runx) maputo mozambique, kuna ndg yangu anaitumia kule sasa nataka niihamishie huku, hebu nisaidie kuileta huku na kuifanyia usajili wa huku inaweza kugusa sh ngapi, Samahani lakini.Chukua hiyo RAV 4
Popote kambiKili time ndio gari
ya cc200 hakunaga dunia nzimah, utaliwa mkwanja wako tuHivi ndugu nitapata wapi engine ya Harrier 200cc nataka kubadilisha toka 3000cc
Nadhani alimaanisha cc2000ya cc200 hakunaga dunia nzimah, utaliwa mkwanja wako tu
Ni kweli kabisa cc 2000 au ile ya cc 2400Nadhani alimaanisha cc2000
Hata huyo mnyama mweusi kina mama wamemuibukia vibaya sana.Iyo kili time siku hizi wanawake wengi wanaendesha chukua huyo mnyama mweusi
Nadhani umekosea. Sio 200 bali 2000. Engine hizo ni za 3s.Hivi ndugu nitapata wapi engine ya Harrier 200cc nataka kubadilisha toka 3000cc
TKSNadhani umekosea. Sio 200 bali 2000. Engine hizo ni za 3s.
Ila wasiliana na mafundi maana vipo vingine vitakavyobadilika kama control box nk
Cc 200 ni pikipiki siyo gariya cc200 hakunaga dunia nzimah, utaliwa mkwanja wako tu