Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaka hiyo bei ya mwaka Gani? Na wapi? Kama ni japan kwa sasa bei ya magari imepanda kidogo! na hiyo ndo bei halisiBei juu sana!! 3Doors Rav 4 haizidi 2300 usd CIF....
kaka hiyo bei ya mwaka gani? Na wapi? Kama ni japan kwa sasa bei ya magari imepanda kidogo! Na hiyo ndo bei halisi
Ingia BE FoRWarD uone bei ilivyo chini CIF...ni za 1998.
kaka, ukienda kwenye hiyo link yako, utagundua gharama za kututua na kutuma ni 3000usd, na wao wanastock za zamani ndo maana sasa wanafanya sales, pia hujui hali ya gari lenyewe, ila hii mimi nimetoka kuinunua na najua condition yake ninzuri sana kama uionavyo kwenye picha!
Najua, Watanzania wengi ni wazuri wa kulialia, kulalamika na kutafuta visababu vidodo vidogo ili wapunguziwe bei au wauziwe kwa bei ya chini sana( Mwisho wanaishia kununua vitu fake).
Unatakiwa kununua magari/ bidhaa kutoka kwenye makampuni ya watanzania wazalendo wenzako na sio kusujudu makampuni ya kigeni. Ukweli ni kwamba ukinunua magari kwenye kampuni ya kijapan utakuwa umesaidia kukuza uchumi wa taifa la japan, na kuwaongezaa ajira na kipato, na ukinunua kutoka kwenye kampuni la mzalendo mwezako utakuwa umesaidia kuongeza ajira na kipato kwa vijana wetu, umesaidia kuongeza pato la serikali kwa kupata kodi, utakuwa umesaidia maendeleo ya nchi na jamii yetu kwa sababu wamiliki wengi wa haya makampuni hutuma remmitances nyumbani, ambazo zinasaidia familia, zinajenga majumba, zinalipia karo na huduma za afya, pia wamiliki wengi wa haya makambuni wanatabia ya kuwekeza katika shughuri balimbali za kijamii na kimaendeleo.
Nina mengi sana ya kusema ila kwa sasa aksanteni !