Habari wakuu...
Naomba mwenye uzoefu na gari tajwa hapo juu tushirikishane juu ya mambo yafuatayo:
1. Uimara wake (Reliability & durability)
2. Ulaji wa mafuta(fuel consumption)
3. Gharama za kuitunza(maintenance costs)
3. Changamoto za hii gari
Na mengineyo.
Nikipata majibu kwa mtu ambaye ameshaitumia au anayeitumia ingenisaidia Sana
Karibuni sana!
Naomba mwenye uzoefu na gari tajwa hapo juu tushirikishane juu ya mambo yafuatayo:
1. Uimara wake (Reliability & durability)
2. Ulaji wa mafuta(fuel consumption)
3. Gharama za kuitunza(maintenance costs)
3. Changamoto za hii gari
Na mengineyo.
Nikipata majibu kwa mtu ambaye ameshaitumia au anayeitumia ingenisaidia Sana
Karibuni sana!