Aqua
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 1,658
- 1,226
Habari wadau,naomba kuelezwa kuna tatizo katika gari Rav 4 old model automatic.Kama uko unaendesha kisha ukibadilisha gear kutoka D kwenda Reverse au R kwenda D kuna mlio kama kishindo unasikika wakati unabadili gear.Naomba kusaidiwa tatizo linaweza kuwa nini na wapi naweza pata msaada kwa Dar.Na kuna muda mwingine kama sijakosea ukiwa unaendesha nadhani speed ikiongezeka unaweza usikia,namanisha kama ni manual inatokea wakati unabadili gear.
Karibuni kwa msaada tafadhari.