Rav 4 old model 1990

Tafuta Suzuki Grand Vitara 2nd Gen zile zinaanzia mwaka 1998 mpaka 2005. Kuna yenye cc1600, japo ni chache saana zenye cc1600. Ila zipo. Zina top speed ya 150kph au 160kph nadhani. Ila ni very capable off road maana zile ni proper 4WD kabisa, zina low range gearbox, sio AWD kama kina Rav4.
View attachment 1097462View attachment 1097463
Mkuu mbona nimesearch sana hii ndinga mitandaoni but nilizoziona ni manual na ziko ulaya na south africa na sio japan kwa maana ya mitandao kama SBT, tradecarview, befoward??
 
Shukran sana mkuu
Dah! Leo nimezunguka Show room zote hapa Dar sijaona hii kitu.

Nikagoogle but hazipatikan kirahis nakutana na HONDA Crv yenye cc zinazolingana atleast but sihitaji.
Kiufup nimefeli MaGrand Vitara mengine yana Cc kubwa..
 
Shukran sana mkuu
Dah! Leo nimezunguka Show room zote hapa Dar sijaona hii kitu.

Nikagoogle but hazipatikan kirahis nakutana na HONDA Crv yenye cc zinazolingana atleast but sihitaji.
Kiufup nimefeli MaGrand Vitara mengine yana Cc kubwa..
Tafuta Suzuki Grand Vitara 2nd Gen zile zinaanzia mwaka 1998 mpaka 2005. Kuna yenye cc1600, japo ni chache saana zenye cc1600. Ila zipo. Zina top speed ya 150kph au 160kph nadhani. Ila ni very capable off road maana zile ni proper 4WD kabisa, zina low range gearbox, sio AWD kama kina Rav4.
View attachment 1097462View attachment 1097463
 
Shukran sana mkuu
Dah! Leo nimezunguka Show room zote hapa Dar sijaona hii kitu.

Nikagoogle but hazipatikan kirahis nakutana na HONDA Crv yenye cc zinazolingana atleast but sihitaji.
Kiufup nimefeli MaGrand Vitara mengine yana Cc kubwa..
Mkuu nami nimetafuta tradecarview, beforward, japanesevehicles.com, autorec, cardeal, sbt, kote sijaona acha Rugambwa YT aje atuelezee zinapatikana wapi hasa
 
Shukran sana mkuu
Dah! Leo nimezunguka Show room zote hapa Dar sijaona hii kitu.

Nikagoogle but hazipatikan kirahis nakutana na HONDA Crv yenye cc zinazolingana atleast but sihitaji.
Kiufup nimefeli MaGrand Vitara mengine yana Cc kubwa..
Ni kweli. Ni chache saana. Na mara nyingi zinakuwa expensive kuliko za cc2000 na kuendelea. Ila zipo.
 
Habar wadau
Naomba kujua mambo ya kitaalam kuhusu hili gari.
lina injin aina ya 3S 1990 cc, 4WD
Naskia ni Imara sana na liko vizuri kwenye Rough road
PLz kwa mwenye Ujuzi nalo; Naomba kujua gari hili naweza nikafunga Injini ya Aina gan Automatic ambayo inaweka ikafiti na ambayo itakuwa ni kuanzia 1300cc mpaka 1500cc..
Kumbuka Rav4 sio imara kwenye rough road kuzidi Suzuki's...kama nia yako ni kuendesha muda mwingi offroad sikushauri rav4 badala yake fikiria Suzuki escudo that one is best kwenye barabara zetu zenye portholes nyingi...kuhusu issue ya kubadilisha injini zingatia sana unaweza kudhani una save kumbe ndio unaharibu kama alivyokushauri mdau hapo juu...kwenye mechanics kuna kanuni iitwayo power to weight ratio ambayo ina determine uzito wa gari na CC/ukubwa wa injini wa gari husika hiyo PW ina kanuni yake ya ukokotozi kutoka kwenye Newton's Second Law of motion kama hukukimbia physics ambapo thrust per unit mass huzidishwa kwa velocity ili kukokotoa kani mwendo na uzania wa gari lengo likiwa kupata uhalisia wa wear and tear ya hilo gari linapokuwa kwenye mwendo....sasa kulivisha hilo Rav4 injini ya cc 1300/5 ni sawa na kumvalisha mtoto wa kindergarten kombati za jeshi...kitachotokea kwa huyo dogo unakijua.

Kama unataka really gari yenye CC ndogo 4WD na imara hakuna namna utaikwepa Suzuki Jimny,Daihatsu Terios kid,Daihatsu Be-Go,Suzuki SX4,Nissan Juke,Mitsubishi Pajero Mini,Mitsubishi Pajero jr tena hii ipo version ya hadi 1997 huko roho ya chuma haka ka komando rambo kanaitwa,kuna Jeep Compass hizi ni off road mashines na zipo hadi CC 1500 wewe tu,kuna Nissan Qashqai CC 1200 hizo zote hapo ni imara ushindwe wewe tu ila hiyo Rav 4 ukiipigisha kwenye mashimo mawili tu itagonga tege sugu moja la hatari na ukivalisha injini ndogo ndo utakuwa mteja wetu wa kila mara
 
Kumbuka Rav4 sio imara kwenye rough road kuzidi Suzuki's...kama nia yako ni kuendesha muda mwingi offroad sikushauri rav4 badala yake fikiria Suzuki escudo that one is best kwenye barabara zetu zenye portholes nyingi...kuhusu issue ya kubadilisha injini zingatia sana unaweza kudhani una save kumbe ndio unaharibu kama alivyokushauri mdau hapo juu...kwenye mechanics kuna kanuni iitwayo power to weight ratio ambayo ina determine uzito wa gari na CC/ukubwa wa injini wa gari husika hiyo PW ina kanuni yake ya ukokotozi kutoka kwenye Newton's Second Law of motion kama hukukimbia physics ambapo thrust per unit mass huzidishwa kwa velocity ili kukokotoa kani mwendo na uzania wa gari lengo likiwa kupata uhalisia wa wear and tear ya hilo gari linapokuwa kwenye mwendo....sasa kulivisha hilo Rav4 injini ya cc 1300/5 ni sawa na kumvalisha mtoto wa kindergarten kombati za jeshi...kitachotokea kwa huyo dogo unakijua.

Kama unataka really gari yenye CC ndogo 4WD na imara hakuna namna utaikwepa Suzuki Jimny,Daihatsu Terios kid,Daihatsu Be-Go,Suzuki SX4,Nissan Juke,Mitsubishi Pajero Mini,Mitsubishi Pajero jr tena hii ipo version ya hadi 1997 huko roho ya chuma haka ka komando rambo kanaitwa,kuna Jeep Compass hizi ni off road mashines na zipo hadi CC 1500 wewe tu,kuna Nissan Qashqai CC 1200 hizo zote hapo ni imara ushindwe wewe tu ila hiyo Rav 4 ukiipigisha kwenye mashimo mawili tu itagonga tege sugu moja la hatari na ukivalisha injini ndogo ndo utakuwa mteja wetu wa kila mara
Mkuu vipi nissan xtrail si inaipiku hiyo suzuki escudo?
 
Kwa hoja hii na uzi ufungwe...
Kumbuka Rav4 sio imara kwenye rough road kuzidi Suzuki's...kama nia yako ni kuendesha muda mwingi offroad sikushauri rav4 badala yake fikiria Suzuki escudo that one is best kwenye barabara zetu zenye portholes nyingi...kuhusu issue ya kubadilisha injini zingatia sana unaweza kudhani una save kumbe ndio unaharibu kama alivyokushauri mdau hapo juu...kwenye mechanics kuna kanuni iitwayo power to weight ratio ambayo ina determine uzito wa gari na CC/ukubwa wa injini wa gari husika hiyo PW ina kanuni yake ya ukokotozi kutoka kwenye Newton's Second Law of motion kama hukukimbia physics ambapo thrust per unit mass huzidishwa kwa velocity ili kukokotoa kani mwendo na uzania wa gari lengo likiwa kupata uhalisia wa wear and tear ya hilo gari linapokuwa kwenye mwendo....sasa kulivisha hilo Rav4 injini ya cc 1300/5 ni sawa na kumvalisha mtoto wa kindergarten kombati za jeshi...kitachotokea kwa huyo dogo unakijua.

Kama unataka really gari yenye CC ndogo 4WD na imara hakuna namna utaikwepa Suzuki Jimny,Daihatsu Terios kid,Daihatsu Be-Go,Suzuki SX4,Nissan Juke,Mitsubishi Pajero Mini,Mitsubishi Pajero jr tena hii ipo version ya hadi 1997 huko roho ya chuma haka ka komando rambo kanaitwa,kuna Jeep Compass hizi ni off road mashines na zipo hadi CC 1500 wewe tu,kuna Nissan Qashqai CC 1200 hizo zote hapo ni imara ushindwe wewe tu ila hiyo Rav 4 ukiipigisha kwenye mashimo mawili tu itagonga tege sugu moja la hatari na ukivalisha injini ndogo ndo utakuwa mteja wetu wa kila mara
 
Mkuu vipi nissan xtrail si inaipiku hiyo suzuki escudo?
Hapana Xtrail sio imara kuzidi Suzuki's Vitara/escudo/grand moja ya sifa ya tough offroad vehicles ni pamoja na muundo wa diff yake diff ya xtrail ina wear haraka kuliko ya Suzuki ambazo zina diff nzito ya chuma inayohakikisha traction ya ukweli ukiwa off road...that's why pickups nyingi unaona zina diff nzito na pickups kwenye offroad tembea upendavyo lakini sio kwa xtrail...hivyo kwa offroad suzuki ni best kwa sababu ya diff nzito lakini pia body yake uhakika...hata suspension system ya mbele ya suzuki ni mkataba mi wishbone yake chuma cha pua...xtrail inaweza msoto lakini inakongoroka fasta kuliko vitaraz
 
Hapana Xtrail sio imara kuzidi Suzuki's Vitara/escudo/grand moja ya sifa ya tough offroad vehicles ni pamoja na muundo wa diff yake diff ya xtrail ina wear haraka kuliko ya Suzuki ambazo zina diff nzito ya chuma inayohakikisha traction ya ukweli ukiwa off road...that's why pickups nyingi unaona zina diff nzito na pickups kwenye offroad tembea upendavyo lakini sio kwa xtrail...hivyo kwa offroad suzuki ni best kwa sababu ya diff nzito lakini pia body yake uhakika...hata suspension system ya mbele ya suzuki ni mkataba mi wishbone yake chuma cha pua...xtrail inaweza msoto lakini inakongoroka fasta kuliko vitaraz
Thanks sana mkuu kwa kunipa elimu hii bureeee! na je kati ya hizi suzuki vitara, toyota klugger, nissan xtrail na subaru forester nani mkali hapo kwenye barabara zenye mashimo na utelezi mkali ??
 
Thanks sana mkuu kwa kunipa elimu hii bureeee! na je kati ya hizi suzuki vitara, toyota klugger, nissan xtrail na subaru forester nani mkali hapo kwenye barabara zenye mashimo na utelezi mkali ??
Suzuki vitara kwenye offroad na tope ndio yenyewe kwenye ratings na review na offroad wanafanya vizuri kwa miongo mingi hao wengine uliowataja chukua kama unataka speed lakini kama unataka vumbini vitara mkataba
 
Back
Top Bottom