Over the hedge
Senior Member
- Sep 6, 2019
- 143
- 159
Hivi ile picha yako tukiweka hapa nan ataonekana shg 😂Ww n shg
Hivi ile picha yako tukiweka hapa nan ataonekana shg 😂Ww n shg
Nimetowa sema nimetoa. Kelia sema keria,chengine jaribu kua na roho ya utu..huo uchafu unauza 185k kwel binadamu tuna roho ngumu.
dah mbav zngu jmnTairi sio tail, tabu sio yabu..shule muhimu kwakwel
Sema nimetoa sio nimetowa..umeshikwa na aibu na umegair bishara
Mkuu kwani wale jamaa ulishindwa kuwalipa deni lao mpaka ukauza gari yako?Kelia yakubebea mizigo ktk gari ndogo
Ipo kinondoni nimetowa ktk gari yangu naiuza bei 185,000
Ipo kinondoni
0712690760, 0755984282
View attachment 1661634View attachment 1661635
Wewe jamaa huo mwandiko wako nina mashaka na ...!Utajua tu siku moja kwann siuzi tail shule ila zimefungwa huwa Kuna yabu Sana jf
Hivyo.vyote nimevitowa
Kauze kwa kilo kwa wanunua skrepa, elfu tisa hukosiKelia yakubebea mizigo ktk gari ndogo
Ipo kinondoni nimetowa ktk gari yangu naiuza bei 185,000
Ipo kinondoni
0712690760, 0755984282
View attachment 1661634View attachment 1661635
Kukosolewa lazima hutaki hama JF kakae chatoAsante nimesha uza kwa wale mlio nitukana na kunikejeli pia nawashukuru Sana mungu hswabariki na pia wale walio nisaidia kuwa jibu walio kuwa wakinitukana najalibu kuwaomba matusi ayajibiwi na matusi asanteni Sana nawale walimu wangu wakiswahil wanao nisahisha nawashukuru pia siwengine hatukusoma km nyie mlio soma shukran