Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,643
- 218,099
- Thread starter
- #521
Nadhani tunaelewana eeee !!!
Noma sana!Hata akitawala maisha yake yote, jiwe ni pepo la kuombewa mabaya tu. Mara nanunua korosho zote, mara oh naomba msaada wa inteperinua, mara oh wastaaafu ni robo nyingine baadaye mdogo mdogo, mara oh wapeni chote nk, fakeni!
Watz muwe na akili serikali si taifa!!!! Serikali ikifanya usenge sisi wananchi ambao ndo taifa tunawakosoa hata ikibidi kuwatoa madarakani!!! Wananchi ndo taifa!! Hatuwezi kuwa na rais ambae anafikiri yeye ndo ana haki na kila kitu wengine wote manyau!!!!! Vija hawaajiriwi, wafanyakazi promotion hakuna, mishahara hakuna!!! Ni haki yao!!! Wanachi ndo taifa!! Urais ukikushinda hacha kuna watu wana uwezo wakulipa mishahara na huku reli ikajengwa!!! Unapeleka uwanja chato kampuni inayopewa tenda magufuli ni mmliki!!!!Umekufuru mno.Baada ya kushiba ugali + utumbo wa kuku ndo unakuwa mp.umba.vu hivyo?