RATIBA YA WANAUME WA DAR W/END

nanawoo

JF-Expert Member
Jan 2, 2015
1,267
1,215
RATIBA YA WANAUME WA DAR W/KEND

1.Asubuhi-Chai na soseji moja na yai la kuchemsha
Baada ya chai anaangalia tamthiliya ya kifilipino
2.Mchana-Chips mayai na mayonaiza na mshikaki mmoja.
Jioni jioni anaenda kufanya pedcure pale mwenge. Baada ya hapo dili za kutafuta hela zinaendelea......(usiulize anatafutaje, wengi wanajua kuzisaka hata fake)
3.Usiku-Mchemsho wa maini. Halafu anakazia na castle light au redbul

RATIBA YA MWANAUME WA MKOANI

1.Asubuhi- Kaamka saa 11 kaanza kukata majani ya ng'ombe then saa moja asubuhi CHAI MAGIMBI,MIHOGO YA KUCHEMSHA NA KARANGA MBICHI.
baada ya hapo analimia limia majani yanayozunguka nyumba.......
2.Mchana-Ugali wa Ulezi,Muhogo au dona na Mchicha+Maharage+Mapapai+ mtindi wa maana.
Baada ya hapo mishe zingine zinaendelea......
3.USIKU-Kabla ya kurudi home anakazia safari,au castle Lager, au BALIMI....then anaenda kula chakula chepesi cha kulalali a DONA NA MLENDA!
Sasa hapo angalia tofauti.......HUJIULIZI KILA MGANGA DAR ANAJIDAI KUTIBU NGUVU ZA KIUME?Mkoani hakuna huo upuuuzi "
 
Karibu Dar hata hawa wenzako walikua kama wewe ila leo wako uku wanakataa majina yao muulize Ngosha kwa nini anataka tumuite Jay Z sio Ngosha tena,stress za mkoani mbaya.
 
Unawapenda sana wanaume wa dar, karibu Dar aka Tanzania, sisi ndio tunaamua huku suala la mzunguko wa hela, tukibana huku huko lazima mlie, unajua kwanini Mh Magu 90% ya maisha yake anayatumia dar na dodoma ni tour tu....
 
Game la nchi linaamuliwa na wanaume walioko Dar, unaijua Saigoni wewe,..
 
Karibu Dar hata hawa wenzako walikua kama wewe ila leo wako uku wanakataa majina yao muulize Ngosha kwa nini anataka tumuite Jay Z sio Ngosha tena,stress za mkoani mbaya.
hahahaaa haya takuja mkuu lakin usinambie unakaa mvuti au chamaz au moshi bar au unakuta unakaa goba nawe unajiita unakaa dar
 
Mleta mada hutakuwa ulivyokuja dar ulifikia kwa shemeji yako,alivyoana siku zinakata uondoki akakupiga patriation,tangu hapo ujawahi kuacha kuwachukia wanaume wa dar
 
RATIBA YA WANAUME WA DAR W/KEND

1.Asubuhi-Chai na soseji moja na yai la kuchemsha
Baada ya chai anaangalia tamthiliya ya kifilipino
2.Mchana-Chips mayai na mayonaiza na mshikaki mmoja.
Jioni jioni anaenda kufanya pedcure pale mwenge. Baada ya hapo dili za kutafuta hela zinaendelea......(usiulize anatafutaje, wengi wanajua kuzisaka hata fake)
3.Usiku-Mchemsho wa maini. Halafu anakazia na castle light au redbul

RATIBA YA MWANAUME WA MKOANI

1.Asubuhi- Kaamka saa 11 kaanza kukata majani ya ng'ombe then saa moja asubuhi CHAI MAGIMBI,MIHOGO YA KUCHEMSHA NA KARANGA MBICHI.
baada ya hapo analimia limia majani yanayozunguka nyumba.......
2.Mchana-Ugali wa Ulezi,Muhogo au dona na Mchicha+Maharage+Mapapai+ mtindi wa maana.
Baada ya hapo mishe zingine zinaendelea......
3.USIKU-Kabla ya kurudi home anakazia safari,au castle Lager, au BALIMI....then anaenda kula chakula chepesi cha kulalali a DONA NA MLENDA!
Sasa hapo angalia tofauti.......HUJIULIZI KILA MGANGA DAR ANAJIDAI KUTIBU NGUVU ZA KIUME?Mkoani hakuna huo upuuuzi "
.......
 
Vijana wa Dar ni fake mno....wanapenda sana maisha ya vijiweni.....kudanganyana na u-wannabe mwingi mno. Kila mtu anajifanya Mmarekani mweusi, muda wote broken English na lafudhi nguuuuuuumu dizaini ya Diamond au MC Pilipili.
 
Mjinga wewe, hujui kwamba sisi kila siku tunaamka saa 10 usiku.
Ulishawahi kuamka mda huo wewe??
 
hahahaaa haya takuja mkuu lakin usinambie unakaa mvuti au chamaz au moshi bar au unakuta unakaa goba nawe unajiita unakaa dar
Mwanaume hua haandiki 'takuja' wewe ni mwanamke, bisha.
 
Maandishi yako yanaonesha hujawahi kupanda gar zaidi ya mkokoteni wa punda na Dar unapakubali sana sema huwezi kuja lkn nakupa ofa ya kuja kuwa shamba boy Mkuranga pengine utakua unakuja hata Mbagala lkn usisahau kupigwa shaba
 
Back
Top Bottom