mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana JF,
Wananchi wote kwa ujumla ni waumini wazuri wa ratiba hii kwa siku nzima, huku wakitegemea mafanikio kuiendeleza nchi yao.
RATIBA YA SIKU MZIMA.
1. Saa Kumi kuamka kuoga na kuanza safari.
2. Saa kumi na moja kufika kituoni.
3. Saa kumi na mbili kufika mjini.
4. Saa 1. kupitia magazeti kwenye vibaraza.
5. Saa 2 kuanza kazi.
6. Saa 3, kujibu facebook, Instagram, E-mail za G-mail, Yahoo.
7. Saa 4. muda wa chai.
8. Saa 5 kufanya kazi kidogo nyingine akiweka mafail pembeni kwa ajili ya kesho.
9. Saa 6 kuwakumbusha wafanyakazi kwenda kuchukua watoto na kuwaanda marafiki, wachuna mabuzi kujiandaa na lunch time.
10. Saa 7 lunch time.
11. Saa 8 kupekua mafail yaliyoachwa na mkurugenzi, au kupokea taarifa mpya ya kufanyia kazi kesho.
12. Saa 9 kufunga ofisi.
Kwa kweli tusipobadilika maendeleo tutayasikia Kenya tu.
Wananchi wote kwa ujumla ni waumini wazuri wa ratiba hii kwa siku nzima, huku wakitegemea mafanikio kuiendeleza nchi yao.
RATIBA YA SIKU MZIMA.
1. Saa Kumi kuamka kuoga na kuanza safari.
2. Saa kumi na moja kufika kituoni.
3. Saa kumi na mbili kufika mjini.
4. Saa 1. kupitia magazeti kwenye vibaraza.
5. Saa 2 kuanza kazi.
6. Saa 3, kujibu facebook, Instagram, E-mail za G-mail, Yahoo.
7. Saa 4. muda wa chai.
8. Saa 5 kufanya kazi kidogo nyingine akiweka mafail pembeni kwa ajili ya kesho.
9. Saa 6 kuwakumbusha wafanyakazi kwenda kuchukua watoto na kuwaanda marafiki, wachuna mabuzi kujiandaa na lunch time.
10. Saa 7 lunch time.
11. Saa 8 kupekua mafail yaliyoachwa na mkurugenzi, au kupokea taarifa mpya ya kufanyia kazi kesho.
12. Saa 9 kufunga ofisi.
Kwa kweli tusipobadilika maendeleo tutayasikia Kenya tu.