Kijana ushe2
Senior Member
- Apr 6, 2017
- 176
- 122
Wanajamvi, Habarini za Leo!
Ninaomba wizara husika na baraza la mitihani la Taifa (BAMITA) AU NECTA watueleze kipi haswa kinachofanya wasitoe ratiba ya mitihani ya vidato hivyo mpaka muda huu mwezi wa nane huku tumezoea ratiba hutolewa mwezi wa nne tu leo imekuaje?
Tangu baraza lianzishwe mwaka huu wanasikitisha sana tena saana. Tunaomba watoe ratiba rasmi ili wazazi, wanafunzi na wadau wa elimu wajipange zaidi ili kuwawezesha hawa wanafunzi kufaulu mitihani yao ya kitaifa.
Nawasilisha kutoka HONGWA USHETU KAHAMA
Karibuni saaana tumepatwa na msiba mzito saana huku kwetu kwa kuondokewa na mbunge, baba yetu WAZIRI WA ULINZI NA JKT ELIUS KWANDIKWA
Ninaomba wizara husika na baraza la mitihani la Taifa (BAMITA) AU NECTA watueleze kipi haswa kinachofanya wasitoe ratiba ya mitihani ya vidato hivyo mpaka muda huu mwezi wa nane huku tumezoea ratiba hutolewa mwezi wa nne tu leo imekuaje?
Tangu baraza lianzishwe mwaka huu wanasikitisha sana tena saana. Tunaomba watoe ratiba rasmi ili wazazi, wanafunzi na wadau wa elimu wajipange zaidi ili kuwawezesha hawa wanafunzi kufaulu mitihani yao ya kitaifa.
Nawasilisha kutoka HONGWA USHETU KAHAMA
Karibuni saaana tumepatwa na msiba mzito saana huku kwetu kwa kuondokewa na mbunge, baba yetu WAZIRI WA ULINZI NA JKT ELIUS KWANDIKWA