Kwenye ushindani wowote ni mhimu kufahamu mbinu za mpinzani wako pamoja na wapi aliko.Tuconcentrate na chama chetu, ya ccm waachie wenyewe wazidi kujichanganya
We mwenyew mjingaSwali la kijinga sana
Kabisa, anaanzaje kuulizia mgombea aliyekata tamaa?Swali la kijinga sana
Kwa hiyo picha za barabarani zinatosha kumfanyia kampeni.Magu katulia zake anasubiri kuapishwa washindwa wanahangaika angalau wapate 20%
Magu katulia zake anasubiri kuapishwa washindwa wanahangaika angalau wapate 20%
Ina maana CCM wanafanya kampeni siku 2 kwa wiki siku 5 wanapumzika.Nasikia yameitana dodoma yamekesha usiku kucha yanajadili namna ya kuiba kura za Tundu Lissu kisayansi😒😒
Huyu countrywide usimuamini, achana naye.Kwenye ushindani wowote ni mhimu kufahamu mbinu za mpinzani wako pamoja na wapi aliko.
Hapa Kazi Tu haibambi naona wameitikia sera ya Membe, 'Kazi na Bata'.Ina maana CCM wanafanya kampeni siku 2 kwa wiki siku 5 wanapumzika.