Ratiba ya Mazishi ya Mpigania Uhuru na Muasisi wa TAA, Dokta Vedasto Kyaruzi

Ericus Kimasha

JF-Expert Member
Oct 27, 2006
488
470

Napenda kuweka sawa Taarifa ya awali juu ya Taarifa ya msiba na ratiba ya mazishi ya Dokta Kyaruzi kama ilivyoletwa hapa Jamvini awali na Ndg. Pasco wa JF

Mazishi ya Dr. Vedasto Kyaruzi aliyefariki tarehe 20/05/2012 saa 1:20 Jioni katika Hospitali ya Mkoa wa Kagera, yatafanyika Jumamosi, tarehe 26/05/2012 saa tisa alasiri Missenye-Nyabianga, Kyaka katika shamba lake.

Mazishi haya yatanguliwa na misa ya kuaga mwili hapo kesho Ijumaa, tarehe 25/05/2012 kuanzia saa saba (7:00) mchana. Misa hii itafanyika nyumbani kwa Marehemu Kashai-Matopeni. Baada ya misa safari ya kuelekea Kyaka kwa maziko itaanza. Mwili wa marehemu utalala shambani kwa marehemu Missenye-Nyabianga

Umma unakaribishwa kujiunga na familia kwa sala, hali na mali katika kipindi hiki kizito.

Bwana alitoa, na Bwana ametwaa. Jina la Bwana na lihimidiwe.


Kwa Taarifa zaidi wasiliana na:

Fredy Nshunju
M/Kiti Kamati ya Habari
Na. ya Simu: 0767404113

Evarista Rugeiyamu
Katibu-Kamati ya Habari
Na. ya Simu: 0784888091


36497_10150916155768069_599863068_9846082_2107665148_n.jpg

545186_10150916166073069_599863068_9846100_1959045896_n.jpg

150746_10150916168203069_599863068_9846105_1538693454_n.jpg

 

Attachments

  • 36497_10150916155768069_599863068_9846082_2107665148_n.jpg
    36497_10150916155768069_599863068_9846082_2107665148_n.jpg
    15.7 KB · Views: 77
Inna Li Llahi wa Inna Illahi Rajiun.

Poleni wote mnaohusika na msiba huu.
 

Napenda kuweka sawa Taarifa ya awali juu ya Taarifa ya msiba na ratiba ya mazishi ya Dokta Kyaruzi kama ilivyoletwa hapa Jamvini awali na Ndg. Pasco wa JF

Mazishi ya Dr. Vedasto Kyaruzi aliyefariki tarehe 20/05/2012 saa 1:20 Jioni katika Hospitali ya Mkoa wa Kagera, yatafanyika Jumamosi, tarehe 26/05/2012 saa tisa alasiri Missenye-Nyabianga, Kyaka katika shamba lake.

Mazishi haya yatanguliwa na misa ya kuaga mwili hapo kesho Ijumaa, tarehe 25/05/2012 kuanzia saa saba (7:00) mchana. Misa hii itafanyika nyumbani kwa Marehemu Kashai-Matopeni. Baada ya misa safari ya kuelekea Kyaka kwa maziko itaanza. Mwili wa marehemu utalala shambani kwa marehemu Missenye-Nyabianga

Umma unakaribishwa kujiunga na familia kwa sala, hali na mali katika kipindi hiki kizito.

Bwana alitoa, na Bwana ametwaa. Jina la Bwana na lihimidiwe.


Kwa Taarifa zaidi wasiliana na:

Fredy Nshunju
M/Kiti Kamati ya Habari
Na. ya Simu: 0767404113

Evarista Rugeiyamu
Katibu-Kamati ya Habari
Na. ya Simu: 0784888091
Mwenyezi Mungu amweke mahapa pema peponi...
Mkuu umesema unataka kuweka sawa taariufa ya awali mbona sioni lolote hasa kuhusiana na Chama cha CCM kushindwa kumuenzi marehemu kwa heshima zote ambazo anastahili. Ama kuna jingine.
 

Napenda kuweka sawa Taarifa ya awali juu ya Taarifa ya msiba na ratiba ya mazishi ya Dokta Kyaruzi kama ilivyoletwa hapa Jamvini awali na Ndg. Pasco wa JF

Mazishi ya Dr. Vedasto Kyaruzi aliyefariki tarehe 20/05/2012 saa 1:20 Jioni katika Hospitali ya Mkoa wa Kagera, yatafanyika Jumamosi, tarehe 26/05/2012 saa tisa alasiri Missenye-Nyabianga, Kyaka katika shamba lake.

Mazishi haya yatanguliwa na misa ya kuaga mwili hapo kesho Ijumaa, tarehe 25/05/2012 kuanzia saa saba (7:00) mchana. Misa hii itafanyika nyumbani kwa Marehemu Kashai-Matopeni. Baada ya misa safari ya kuelekea Kyaka kwa maziko itaanza. Mwili wa marehemu utalala shambani kwa marehemu Missenye-Nyabianga

Umma unakaribishwa kujiunga na familia kwa sala, hali na mali katika kipindi hiki kizito.

Bwana alitoa, na Bwana ametwaa. Jina la Bwana na lihimidiwe.


Kwa Taarifa zaidi wasiliana na:

Fredy Nshunju
M/Kiti Kamati ya Habari
Na. ya Simu: 0767404113

Evarista Rugeiyamu
Katibu-Kamati ya Habari
Na. ya Simu: 0784888091


Jipangeni kwa itifaki Kwani MKUU WA NCHI ANAKUJA PIA
 
RIP Kyaruzi . Lakini CCM wapo radhi watoe milioni 10 kwenye msiba wa mtu aliyefia mapenzi kuliko huyu mpigania uhuru
 
Ericus Kimasha, asante kwa taarifa hii. Baada ya ile taarifa yangu ya J.3, jana ndio media nazo zimeanza kuutangaza msiba huu muhimu.

Kumbe ndie aliyekuwa balozi wetu wa kwanza wa Tanganyika huru kwenye Umoja wa Mataifa, UN.

Naomba utupatie update from time to time ikiwepo ushiriki wa serikali/CCM kwenye msiba huu.

Asante.

Pasco.
 
Ericus Kimasha, asante kwa taarifa hii. Baada ya ile taarifa yangu ya J.3, jana ndio media nazo zimeanza kuutangaza msiba huu muhimu.

Kumbe ndie aliyekuwa balozi wetu wa kwanza wa Tanganyika huru kwenye Umoja wa Mataifa, UN.

Naomba utupatie update from time to time ikiwepo ushiriki wa serikali/CCM kwenye msiba huu.

Asante.

Pasco.

Kaka Pasco,

Ulikuwa miongoni mwa watu wa kwanza kutumiwa Taarifa ya msiba huu Juma Pili saa mbili kasoro usiku kupitia FB wall ya Pascal Mayalla! Taarifa ilifuatiwa na Wasifu mfupi wa Marehemu. Nafikiri kule huendi sana!

Pili, kuhusu Chama na Serikali siwezi kuwatolea Taarifa. Tuwe na subira nao maana hawaleti dawa ya mgonjwa iwe kwamba wasipokuja anakufa! Tuwape muda
 
Mkuu umesema unataka kuweka sawa taarifa ya awali mbona sioni lolote hasa kuhusiana na Chama cha CCM kushindwa kumuenzi marehemu kwa heshima zote ambazo anastahili. Ama kuna jingine.

Mkuu Mkandara,

Hilo la kukanusha au kusemea ushiriki wa CCM namwachia Nape Nnauye.

Jukumu langu lilikuwa kwenye kuweka sawa Taarifa ya Msiba, ulitokea lini, wapi na anazikwa lini, wapi na saa ngapi.

Nahisi simanzi yangu kuhama kutoka uchungu wa msiba na kwenda kwenye kukosekana kwa malipo ya fadhila kwa watu stahili wa nchi hii.
 
RIP Kyaruzi . Lakini CCM wapo radhi watoe milioni 10 kwenye msiba wa mtu aliyefia mapenzi kuliko huyu mpigania uhuru
P.Pango, naomba tusichanganye CCM na serikali, japo ni serikali ya CCM, lakini serikali ni serikali ya JMT na CCM ni chama cha wanachama, wapenzi na washabiki.

Fedha TSH, Milioni 10 zilitolewa na serikali na sio na CCM.

Serikali ilipotoa fedha zile ilikuwa na sababu na justification ikatengenezwa na kuweka precedence kumbe misiba muhimu, basi serikali hupaswa kuchangia angalau TSH. Milioni 10!.

Fedha hizo zingetolewa na CCM kwa vile hiki ni chama tuu cha siasa, kinaweza kimchangia huyu na kisimchangie yule na hakuna wa kukiuliza kwa sababu vyama ni private entities.

Lakini serikali ni public entitiy, kama serikali yetu ilitumia milioni 10 kumpatia Kanumba maziko stahiki kutokana na mchango wake kwa taifa hili, sisi kama public tonayo haki ya kujua jee serikali yetu imetoa kiasi gani kumpatia maziko stahiki huyu shujaa wetu wa taifa, mwanzilishi wa Taa na mpigania uhuru?. Tena kwake fedha hizo sio favour bali sasa ni right kwa precedence ya Kanumba!.
 
Kaka Pasco,

Ulikuwa miongoni mwa watu wa kwanza kutumiwa Taarifa ya msiba huu Juma Pili saa mbili kasoro usiku kupitia FB wall ya Pascal Mayalla! Taarifa ilifuatiwa na Wasifu mfupi wa Marehemu. Nafikiri kule huendi sana!

Pili, kuhusu Chama na Serikali siwezi kuwatolea Taarifa. Tuwe na subira nao maana hawaleti dawa ya mgonjwa iwe kwamba wasipokuja anakufa! Tuwape muda
Ericus,
Asante kwa taarifa, ni kweli sikubahatika kuitembelea wall ya Pascal Mayalla na bahati mbaya mimi Pasco wa jf sio member wa fb na kule sitembelei kabisa!.

Maadam sasa wewe mwenywe upo, keep us updated!.
 
Rip mzee wa ukweli na mzalendo halisi. kwa wale tuliomfahamu ni pengo kubwa hasa, hawa ndio watu waliostahili kutunukiwa nishani za utumishi uliotukuka na uaminifu mkubwa.
tutakukumbuka doctor,
upumzike kwa amani
amina
 
huyu alikuwa mwenyekiti wa TAA?

mbona sikuwahi kusoma hiii?????????

The Boss,

Waweza kuwa ni muathirika wa mabadiliko ya mitaala yaliyofanywa na Mungai! Zamani vitabu vya historia ya ukombozi dalasa la pili Dr. Vedasto Kyaruzi alikuwemo. Lakini pia hapa JF mwaka jana kuelekea kilele cha sherehe za Uhuru tumekuwa na simulizi la Waasisi wa Tanganyika. Jaribu kulitafuta!

Pia waweza kupata dondoo hapa http://www.mwananchi.co.tz/magazine...himu-wa-uhuru-asiyetambuliwa-na-historia.html
 
P.Pango, naomba tusichanganye CCM na serikali, japo ni serikali ya CCM, lakini serikali ni serikali ya JMT na CCM ni chama cha wanachama, wapenzi na washabiki.

Fedha TSH, Milioni 10 zilitolewa na serikali na sio na CCM.

Serikali ilipotoa fedha zile ilikuwa na sababu na justification ikatengenezwa na kuweka precedence kumbe misiba muhimu, basi serikali hupaswa kuchangia angalau TSH. Milioni 10!.

Fedha hizo zingetolewa na CCM kwa vile hiki ni chama tuu cha siasa, kinaweza kimchangia huyu na kisimchangie yule na hakuna wa kukiuliza kwa sababu vyama ni private entities.

Lakini serikali ni public entitiy, kama serikali yetu ilitumia milioni 10 kumpatia Kanumba maziko stahiki kutokana na mchango wake kwa taifa hili, sisi kama public tonayo haki ya kujua jee serikali yetu imetoa kiasi gani kumpatia maziko stahiki huyu shujaa wetu wa taifa, mwanzilishi wa Taa na mpigania uhuru?. Tena kwake fedha hizo sio favour bali sasa ni right kwa precedence ya Kanumba!.

Pasco,

..lakini kila wanapofanya jambo lolote lile husema ni serikali ya CCM ndiyo iliyofanya.

..mfano, masuala ya ukombozi wa kusini mwa Afrika nimemsikia Mkapa akisema ni CCM ndiyo waliofanya, hasemi wa-Tanzania.

..they like to create that confusion and it has been working for them for a while. sasa mambo yamebadilika wananchi wanaaza kuhusisha matatizo yao na CCM na serikali yake.
 
RIP babu nadhani nyie ndo mlikua wasomo wa kwanza kabisa kwani ata degree zake inaonesha ni kabla ya uhuru ..Damu ya wazalendo inapotea nadhani magamba yanafurahi kwani poin of reference hazitakuwepo live nani wa kuwakemea hakuna...poleni wafiwa na mungu amlaze mzee wetu kwa utumishi wake wooooooooooooooooooooooooooote...AMEN
 
RIP babu nadhani nyie ndo mlikua wasomi wa kwanza kabisa wakati Tanganyika inapata uhuru na sijui madaktari walikua wangapi....magamba wanafurahi kwani wazee wa chama na serikali ndo wanaisha ivyo tutegemee nchi kuuzwa katika kasi mpya,hari mpya na nguvu mpya,,,,,,,,,,
 
P.Pango, naomba tusichanganye CCM na serikali, japo ni serikali ya CCM, lakini serikali ni serikali ya JMT na CCM ni chama cha wanachama, wapenzi na washabiki.

Fedha TSH, Milioni 10 zilitolewa na serikali na sio na CCM.

Serikali ilipotoa fedha zile ilikuwa na sababu na justification ikatengenezwa na kuweka precedence kumbe misiba muhimu, basi serikali hupaswa kuchangia angalau TSH. Milioni 10!.

Fedha hizo zingetolewa na CCM kwa vile hiki ni chama tuu cha siasa, kinaweza kimchangia huyu na kisimchangie yule na hakuna wa kukiuliza kwa sababu vyama ni private entities.

Lakini serikali ni public entitiy, kama serikali yetu ilitumia milioni 10 kumpatia Kanumba maziko stahiki kutokana na mchango wake kwa taifa hili, sisi kama public tonayo haki ya kujua jee serikali yetu imetoa kiasi gani kumpatia maziko stahiki huyu shujaa wetu wa taifa, mwanzilishi wa Taa na mpigania uhuru?. Tena kwake fedha hizo sio favour bali sasa ni right kwa precedence ya Kanumba!.
Well done Pasco!
 
Back
Top Bottom