Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,381
Ligi Kuu Soka England itaanza kurindima Septemba 12, 2020 na Bingwa Mtetezi, Liverpool inaanzia nyumbani ikiikaribisha Leeds ambayo ni Bingwa wa Championship
Baada ya kucheza na Leeds, Liverpool itasafiri kwenda Stamford Bridge kuchuana na Chelsea na mchezo wake wa tatu utakuwa dhidi ya Bingwa wa Kombe la FA, Arsenal
Manchester City itaanza itacheza mchezo wake wa kwanza katika wiki ya pili ambapo itachuana na Wolves, kisha itavaana Leicester kabla ya kukutana na Leeds halafu Arsenal
Chelsea itafungua msimu na Brighton Septemba 14, kabla ya kukutana na Liverpool na kisha kukutana na timu iliyopanda daraja ya West Brom
Vijana wa Mikel Arteta wataanza kazi dhidi ya Fulham iliyopanda daraja kupitia 'play-offs'. Baada ya hapo Arsenal itakutana na West Ham kabla ya kukutana na Bingwa Mtetezi, Liverpool
Manchester United pia itacheza mchezo wa kwanza wiki ya pili ya mzunguko kutokana na kufika hatua za mbali kwenye Michuano ya Ulaya kwa msimu huu. Itaanza kampeni dhidi ya Crystal Palace
Baada ya kucheza na Leeds, Liverpool itasafiri kwenda Stamford Bridge kuchuana na Chelsea na mchezo wake wa tatu utakuwa dhidi ya Bingwa wa Kombe la FA, Arsenal
Manchester City itaanza itacheza mchezo wake wa kwanza katika wiki ya pili ambapo itachuana na Wolves, kisha itavaana Leicester kabla ya kukutana na Leeds halafu Arsenal
Chelsea itafungua msimu na Brighton Septemba 14, kabla ya kukutana na Liverpool na kisha kukutana na timu iliyopanda daraja ya West Brom
Vijana wa Mikel Arteta wataanza kazi dhidi ya Fulham iliyopanda daraja kupitia 'play-offs'. Baada ya hapo Arsenal itakutana na West Ham kabla ya kukutana na Bingwa Mtetezi, Liverpool
Manchester United pia itacheza mchezo wa kwanza wiki ya pili ya mzunguko kutokana na kufika hatua za mbali kwenye Michuano ya Ulaya kwa msimu huu. Itaanza kampeni dhidi ya Crystal Palace