TUPAMBANE SANA
Member
- Nov 21, 2018
- 29
- 26
Nashindwa kuelewa kwanini azam jana na KMC walicheza na leo hakuna game Taifa japo sijajua taifa Kuna nini Angalieni ratiba zenu TFF. Watu J. Pili Na J.mosi wako home wanasubiria burudani
Kibali cha weekend.Mpaka wife Leo kaniuliza vipi Leo jumamosi mbona bado upo hakuna mechi Leo? Nikakosa la kujibu maana hata watu wasio wa mpira wanashangaa Leo hakuna mechi
Itakuwa na sisi tunaanza winter break kama eplMpaka wife Leo kaniuliza vipi Leo jumamosi mbona bado upo hakuna mechi Leo? Nikakosa la kujibu maana hata watu wasio wa mpira wanashangaa Leo hakuna mechi