Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,697
- 8,499
Hizo gari ni fimbo tu na kuajust seat tu.zile siku saba impact yake ndo hii 😐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ratiba za wagombea kuzunguka mikoani zinapangwa na Nec.Tar 25 si bora angerudi tena huku Iringa na Mbeya?
Sijaona sababu ya kurudiarudia hyo Singida.
Inabid a skip sehem moja ili aende Moshi ni muhim sana kuwahi MoshiKuanzia tar 18 ratiba ni ngumu sana, ukiangalia geogeafia ya maeneo hayo na idadi ya mikutano, sidhan kama mkutano wa moshi ataweza kufanya, atachelewa kama ule mwingine
Masuala ya waaislamu wachie waislamu wenyewe, huyajui, Muislamu gani anapenda Bwakwata ccmWaislamu walio wengi ni BAKWATA .PONDA ni siasa kali huwa anawaporomoshea mitusi BAKWATA
Ukishakuwa na PONDA tu ujue waislamu walio wengi ambao ni BAKWATA kura zao hupati
Hakuna mtu asiyependwa na waislamu wa BAKWATA kama huyo shehe Ponda
Wee zezeta kweli wewee..sasa meko ameenda kijiji gani??Lisu anazurura kwenye vimiji tu hapo
Ngoma iko vijijini kwenye wapiga kura asilimia 80 wa mijini ni asilimi 20 tu!!!
Anahangaika kutafuta kura kwenye asilimia 20!!! MIJINI ambako na CCM TUPO TENA sana tu.
VIJIJINI ndio nyumbani kwetu CCM kila kijiji tupo na tawi la CCM lipo na team za kampeni zipo
MIJINI ndiko tunalala
.Lisu anazurura mijini na maeneo yenye barabara za lami za Magufuli!!! Gari yake isipate vumbi!! CCM VIJIJI VYOTE nchi nzima tumesha cover kwa kampeni.Hatujaachakijiji hata kimoja
Mwenyekiti wetu ameharibu kula ruzuku na michango,mgombea wetu ilipaswa akodishe chopaRATIBA YA KAMPENI YA MH #TUNDU LISU
KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA.
TAREHE 18.10.2020
1. HANANG
2. MBULU
3. KARATU
TAREHE 19.10.2020
1. SIMANJIRO
2. MONDULI
3. LONGIDO
4. ARUMERU
5. HAI
6. MOSHI MJINI
TAREHE 20.10.2020
1. MWANGA
2. LUSHOTO
TAREHE 21.10.2020
1. KOROGWE
2. MUHEZA
3. TANGA TOWN
TAREHE 22.10.2020
1. WETE
2. CHAKECHAKE
3. MKOA MAGHARIBI
4. PEMBA
TAREHE 23.10.2020
1. LINDI
2. NACHINGWEA
3. NEWALA
4. NANYUMBU
TAREHE 24.10.2020
1. TUNDURU
2. NYASA
3. SONGEA
TAREHE 25.10.20201
1. CHEMBA
2. SINGIDA
3. IKUNGI
TAREHE 26.10.2020
1. SAME
2. HANDENI
3. PANGANI
TAREHE 27.10.2020
DAR ES SALAAM STAND UP .
TAREHE 28.10. 2020
KURA YA NDIO KWA #TUNDU LISU MAPEMA SANA.
Share kila mtu aipate ratiba hii
Alphonce Shadrack Paul
Hivi manyara atahutubia sehem gani!? Natamani angalau mkutano wake mmoja nishirikiNi yeye......manyara tunamsubiria kwa hamu sendeka na tumbo lake akaliegeshe ngabomoa
Chopa walipata, dereva ana miaka 55 TCAA wanasema rubani ni mzee sana. .Mwenyekiti wetu ameharibu kula ruzuku na michango,mgombea wetu ilipaswa akodishe chopa
Kwa uelewa wangu, chama kinatuma mapendekezo ya siku na maeneo wanayotaka kufanya kampeni halafu tume wanaridhia. Tume wanarekebisha ratiba pale tu wanapoona ulazima wa kufanya hivyo, kwa mfano ili ratiba za wagombea zisiingiliane.Hivi ratiba ya maeneo wanaiweka wao halafu NEC wanawapangia siku tu au kila kitu wanapangiwa na NEC? Nauliza hivyo maana sina nijualo kwenye siasa lakini naona kama kuna maeneo yanarudiwa huku mengine yakiachwa kabisa
Kwani kampuni ipo moja tu?Chopa walipata, dereva ana miaka 55 TCAA wanasema rubani ni mzee sana. .
Dah ila hiyo tarehe 26 ni bora apotezee hayo maeneo angekwenda huko nyanda za juu kusini ama Angeongeza siku moja mikoa ya kusini.RATIBA YA KAMPENI YA MH #TUNDU LISU
KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA.
TAREHE 18.10.2020
1. HANANG
2. MBULU
3. KARATU
TAREHE 19.10.2020
1. SIMANJIRO
2. MONDULI
3. LONGIDO
4. ARUMERU
5. HAI
6. MOSHI MJINI
TAREHE 20.10.2020
1. MWANGA
2. LUSHOTO
TAREHE 21.10.2020
1. KOROGWE
2. MUHEZA
3. TANGA TOWN
TAREHE 22.10.2020
1. WETE
2. CHAKECHAKE
3. MKOA MAGHARIBI
4. PEMBA
TAREHE 23.10.2020
1. LINDI
2. NACHINGWEA
3. NEWALA
4. NANYUMBU
TAREHE 24.10.2020
1. TUNDURU
2. NYASA
3. SONGEA
TAREHE 25.10.20201
1. CHEMBA
2. SINGIDA
3. IKUNGI
TAREHE 26.10.2020
1. SAME
2. HANDENI
3. PANGANI
TAREHE 27.10.2020
DAR ES SALAAM STAND UP .
TAREHE 28.10. 2020
KURA YA NDIO KWA #TUNDU LISU MAPEMA SANA.
Share kila mtu aipate ratiba hii
Alphonce Shadrack Paul
Kamanda mwenzangu tusidamganyane. Ukweli unatuweka huru.Mh Lisu mpaka sasa ameshashinda sema anatafuta kura za nyongeza tu. Pia anawafikia wananchi wake kwakuwa wanatamani kumuona
Kamanda usikariri mambo ya 2015.Dah ila hiyo tarehe 26 ni bora apotezee hayo maeneo angekwenda huko nyanda za juu kusini ama Angeongeza siku moja mikoa ya kusini.
Huko Same kura zote keshapata sababu ni ngome ya CHADEMA bora angejikita kusini achukue kura za hasira. Siku mbili hazitoshi mikoa ya kusini angepiga 3 mfululizo
Let everyone stands for one's RIGHT.RATIBA YA KAMPENI YA MH #TUNDU LISU
KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA.
TAREHE 18.10.2020
1. HANANG
2. MBULU
3. KARATU
TAREHE 19.10.2020
1. SIMANJIRO
2. MONDULI
3. LONGIDO
4. ARUMERU
5. HAI
6. MOSHI MJINI
TAREHE 20.10.2020
1. MWANGA
2. LUSHOTO
TAREHE 21.10.2020
1. KOROGWE
2. MUHEZA
3. TANGA TOWN
TAREHE 22.10.2020
1. WETE
2. CHAKECHAKE
3. MKOA MAGHARIBI
4. PEMBA
TAREHE 23.10.2020
1. LINDI
2. NACHINGWEA
3. NEWALA
4. NANYUMBU
TAREHE 24.10.2020
1. TUNDURU
2. NYASA
3. SONGEA
TAREHE 25.10.20201
1. CHEMBA
2. SINGIDA
3. IKUNGI
TAREHE 26.10.2020
1. SAME
2. HANDENI
3. PANGANI
TAREHE 27.10.2020
DAR ES SALAAM STAND UP .
TAREHE 28.10. 2020
KURA YA NDIO KWA #TUNDU LISU MAPEMA SANA.
Share kila mtu aipate ratiba hii
Alphonce Shadrack Paul
Mkuu una maoni mazuri sana ila nadhani hapa kuna mahali wapinzani tunawapa advantage CCM.Ushauri wangu chadema siku ya kufunga kampeni Dar es salaam, ikiwezekana fanyieni jangwani, pia wilaya zote za dar ziwepo hapo, pia mkutano au hotuba ya mh.lissu iandikwe rasmi, pia apewe muda wa kutosha kuhutubia kama masaa matatu hivi, pia ikiwezekana irushwe live na radio na TV, bila kusahau mitandao ya kijamii.Ombeni TV moja au mbili irushe mkutano huo, hoja zote zilizotolewa na jpm akiwa dar zijibiwe ipasavyo.Siku hyo mh.lissu ashauliwe kushusha jazba atulie hasa.pia hotuba hiyo ionyeshe mahali tulikotoka,tulipo, tunakoelekea na tulipokwama na namna ya kutoka iwapo chadema ikichaguliwa.pia wabunge wa dar wanadiwe ipasavyo kwa kuonyesha kwa nn wao wachaguliwe na sio wa ccm.Pia nashauri wafuatao wawepo, ponda, prof.baregu,sheikh Katimba,mwamakula, ikiwezekana na askofu bagonza waalikwe.Pia wajitaidi mkutano uishe saa kumi na mbili jioni bila kuzidisha muda
Safi sanaRATIBA YA KAMPENI YA MH #TUNDU LISU
KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA.
TAREHE 18.10.2020
1. HANANG
2. MBULU
3. KARATU
TAREHE 19.10.2020
1. SIMANJIRO
2. MONDULI
3. LONGIDO
4. ARUMERU
5. HAI
6. MOSHI MJINI
TAREHE 20.10.2020
1. MWANGA
2. LUSHOTO
TAREHE 21.10.2020
1. KOROGWE
2. MUHEZA
3. TANGA TOWN
TAREHE 22.10.2020
1. WETE
2. CHAKECHAKE
3. MKOA MAGHARIBI
4. PEMBA
TAREHE 23.10.2020
1. LINDI
2. NACHINGWEA
3. NEWALA
4. NANYUMBU
TAREHE 24.10.2020
1. TUNDURU
2. NYASA
3. SONGEA
TAREHE 25.10.20201
1. CHEMBA
2. SINGIDA
3. IKUNGI
TAREHE 26.10.2020
1. SAME
2. HANDENI
3. PANGANI
TAREHE 27.10.2020
DAR ES SALAAM STAND UP .
TAREHE 28.10. 2020
KURA YA NDIO KWA #TUNDU LISU MAPEMA SANA.
Share kila mtu aipate ratiba hii
Alphonce Shadrack Paul