Uchaguzi 2020 Ratiba ya Kampeni ya Mgombea urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu kuanzia Oktoba 18 - 27, 2020

Waislamu walio wengi ni BAKWATA .PONDA ni siasa kali huwa anawaporomoshea mitusi BAKWATA

Ukishakuwa na PONDA tu ujue waislamu walio wengi ambao ni BAKWATA kura zao hupati
Hakuna mtu asiyependwa na waislamu wa BAKWATA kama huyo shehe Ponda
Masuala ya waaislamu wachie waislamu wenyewe, huyajui, Muislamu gani anapenda Bwakwata ccm
 
Lisu anazurura kwenye vimiji tu hapo

Ngoma iko vijijini kwenye wapiga kura asilimia 80 wa mijini ni asilimi 20 tu!!!

Anahangaika kutafuta kura kwenye asilimia 20!!! MIJINI ambako na CCM TUPO TENA sana tu.

VIJIJINI ndio nyumbani kwetu CCM kila kijiji tupo na tawi la CCM lipo na team za kampeni zipo

MIJINI ndiko tunalala

.Lisu anazurura mijini na maeneo yenye barabara za lami za Magufuli!!! Gari yake isipate vumbi!! CCM VIJIJI VYOTE nchi nzima tumesha cover kwa kampeni.Hatujaachakijiji hata kimoja
Wee zezeta kweli wewee..sasa meko ameenda kijiji gani??
 
RATIBA YA KAMPENI YA MH #TUNDU LISU
KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA.

TAREHE 18.10.2020

1. HANANG
2. MBULU
3. KARATU

TAREHE 19.10.2020

1. SIMANJIRO
2. MONDULI
3. LONGIDO
4. ARUMERU
5. HAI
6. MOSHI MJINI

TAREHE 20.10.2020

1. MWANGA
2. LUSHOTO

TAREHE 21.10.2020

1. KOROGWE
2. MUHEZA
3. TANGA TOWN

TAREHE 22.10.2020

1. WETE
2. CHAKECHAKE
3. MKOA MAGHARIBI
4. PEMBA

TAREHE 23.10.2020

1. LINDI
2. NACHINGWEA
3. NEWALA
4. NANYUMBU

TAREHE 24.10.2020

1. TUNDURU
2. NYASA
3. SONGEA

TAREHE 25.10.20201

1. CHEMBA
2. SINGIDA
3. IKUNGI

TAREHE 26.10.2020

1. SAME
2. HANDENI
3. PANGANI

TAREHE 27.10.2020

DAR ES SALAAM STAND UP .

TAREHE 28.10. 2020

KURA YA NDIO KWA #TUNDU LISU MAPEMA SANA.

Share kila mtu aipate ratiba hii

Alphonce Shadrack Paul
Mwenyekiti wetu ameharibu kula ruzuku na michango,mgombea wetu ilipaswa akodishe chopa
 
Naona uwezekano mkubwa wa Lissu kuwekewa pingamizi jingine alafu wampe adhabu nyingine ya kutofanya kampeni ili asiweze kumalize ratiba yake kama alivyoipanga.

Lissu anapanga kuingia kwenye siku ya uchaguzi kwa momentum kubwa, sioni jinsi nyingine
ambayo CCM wanaweza kushindana nayo.
 
Hivi ratiba ya maeneo wanaiweka wao halafu NEC wanawapangia siku tu au kila kitu wanapangiwa na NEC? Nauliza hivyo maana sina nijualo kwenye siasa lakini naona kama kuna maeneo yanarudiwa huku mengine yakiachwa kabisa
Kwa uelewa wangu, chama kinatuma mapendekezo ya siku na maeneo wanayotaka kufanya kampeni halafu tume wanaridhia. Tume wanarekebisha ratiba pale tu wanapoona ulazima wa kufanya hivyo, kwa mfano ili ratiba za wagombea zisiingiliane.
 
Mh Lisu mpaka sasa ameshashinda sema anatafuta kura za nyongeza tu. Pia anawafikia wananchi wake kwakuwa wanatamani kumuona
 
RATIBA YA KAMPENI YA MH #TUNDU LISU
KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA.

TAREHE 18.10.2020

1. HANANG
2. MBULU
3. KARATU

TAREHE 19.10.2020

1. SIMANJIRO
2. MONDULI
3. LONGIDO
4. ARUMERU
5. HAI
6. MOSHI MJINI

TAREHE 20.10.2020

1. MWANGA
2. LUSHOTO

TAREHE 21.10.2020

1. KOROGWE
2. MUHEZA
3. TANGA TOWN

TAREHE 22.10.2020

1. WETE
2. CHAKECHAKE
3. MKOA MAGHARIBI
4. PEMBA

TAREHE 23.10.2020

1. LINDI
2. NACHINGWEA
3. NEWALA
4. NANYUMBU

TAREHE 24.10.2020

1. TUNDURU
2. NYASA
3. SONGEA

TAREHE 25.10.20201

1. CHEMBA
2. SINGIDA
3. IKUNGI

TAREHE 26.10.2020

1. SAME
2. HANDENI
3. PANGANI

TAREHE 27.10.2020

DAR ES SALAAM STAND UP .

TAREHE 28.10. 2020

KURA YA NDIO KWA #TUNDU LISU MAPEMA SANA.

Share kila mtu aipate ratiba hii

Alphonce Shadrack Paul
Dah ila hiyo tarehe 26 ni bora apotezee hayo maeneo angekwenda huko nyanda za juu kusini ama Angeongeza siku moja mikoa ya kusini.
Huko Same kura zote keshapata sababu ni ngome ya CHADEMA bora angejikita kusini achukue kura za hasira. Siku mbili hazitoshi mikoa ya kusini angepiga 3 mfululizo
 
Dah ila hiyo tarehe 26 ni bora apotezee hayo maeneo angekwenda huko nyanda za juu kusini ama Angeongeza siku moja mikoa ya kusini.
Huko Same kura zote keshapata sababu ni ngome ya CHADEMA bora angejikita kusini achukue kura za hasira. Siku mbili hazitoshi mikoa ya kusini angepiga 3 mfululizo
Kamanda usikariri mambo ya 2015.
 
RATIBA YA KAMPENI YA MH #TUNDU LISU
KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA.

TAREHE 18.10.2020

1. HANANG
2. MBULU
3. KARATU

TAREHE 19.10.2020

1. SIMANJIRO
2. MONDULI
3. LONGIDO
4. ARUMERU
5. HAI
6. MOSHI MJINI

TAREHE 20.10.2020

1. MWANGA
2. LUSHOTO

TAREHE 21.10.2020

1. KOROGWE
2. MUHEZA
3. TANGA TOWN

TAREHE 22.10.2020

1. WETE
2. CHAKECHAKE
3. MKOA MAGHARIBI
4. PEMBA

TAREHE 23.10.2020

1. LINDI
2. NACHINGWEA
3. NEWALA
4. NANYUMBU

TAREHE 24.10.2020

1. TUNDURU
2. NYASA
3. SONGEA

TAREHE 25.10.20201

1. CHEMBA
2. SINGIDA
3. IKUNGI

TAREHE 26.10.2020

1. SAME
2. HANDENI
3. PANGANI

TAREHE 27.10.2020

DAR ES SALAAM STAND UP .

TAREHE 28.10. 2020

KURA YA NDIO KWA #TUNDU LISU MAPEMA SANA.

Share kila mtu aipate ratiba hii

Alphonce Shadrack Paul
Let everyone stands for one's RIGHT.
 
Hii ratiba imepangwa kwa ugumu makusudikale ili asiimalize, maana kuna wakati poliCCM watamzuia njiani.

Ila kiukweli, huyu mwamba anapumzi ya hatari.
 
Ushauri wangu chadema siku ya kufunga kampeni Dar es salaam, ikiwezekana fanyieni jangwani, pia wilaya zote za dar ziwepo hapo, pia mkutano au hotuba ya mh.lissu iandikwe rasmi, pia apewe muda wa kutosha kuhutubia kama masaa matatu hivi, pia ikiwezekana irushwe live na radio na TV, bila kusahau mitandao ya kijamii.Ombeni TV moja au mbili irushe mkutano huo, hoja zote zilizotolewa na jpm akiwa dar zijibiwe ipasavyo.Siku hyo mh.lissu ashauliwe kushusha jazba atulie hasa.pia hotuba hiyo ionyeshe mahali tulikotoka,tulipo, tunakoelekea na tulipokwama na namna ya kutoka iwapo chadema ikichaguliwa.pia wabunge wa dar wanadiwe ipasavyo kwa kuonyesha kwa nn wao wachaguliwe na sio wa ccm.Pia nashauri wafuatao wawepo, ponda, prof.baregu,sheikh Katimba,mwamakula, ikiwezekana na askofu bagonza waalikwe.Pia wajitaidi mkutano uishe saa kumi na mbili jioni bila kuzidisha muda
Mkuu una maoni mazuri sana ila nadhani hapa kuna mahali wapinzani tunawapa advantage CCM.
Sheria ya uchaguzi ingebadilishwa ili kampeni zifungwe say tarehe 26, ili tarehe 27 mgombea anapumzika na kufanya vikao na mikakati ya siku ya uchaguzi hiyo 28 October.

Ila hii ya kufunga mkutano tarehe 27 jioni ilihali asubuhi yake uchaguzi unafanyika huwa inaleta usumbufu sana hasa mobilization majimboni. Unless kma Mnyika muda wote yupo ofisini kushughulikia mikakati tofauti na 2015 ambapo viongozi karibu wote walikua wagombea.
 
RATIBA YA KAMPENI YA MH #TUNDU LISU
KIPINDI HIKI CHA LALA SALAMA.

TAREHE 18.10.2020

1. HANANG
2. MBULU
3. KARATU

TAREHE 19.10.2020

1. SIMANJIRO
2. MONDULI
3. LONGIDO
4. ARUMERU
5. HAI
6. MOSHI MJINI

TAREHE 20.10.2020

1. MWANGA
2. LUSHOTO

TAREHE 21.10.2020

1. KOROGWE
2. MUHEZA
3. TANGA TOWN

TAREHE 22.10.2020

1. WETE
2. CHAKECHAKE
3. MKOA MAGHARIBI
4. PEMBA

TAREHE 23.10.2020

1. LINDI
2. NACHINGWEA
3. NEWALA
4. NANYUMBU

TAREHE 24.10.2020

1. TUNDURU
2. NYASA
3. SONGEA

TAREHE 25.10.20201

1. CHEMBA
2. SINGIDA
3. IKUNGI

TAREHE 26.10.2020

1. SAME
2. HANDENI
3. PANGANI

TAREHE 27.10.2020

DAR ES SALAAM STAND UP .

TAREHE 28.10. 2020

KURA YA NDIO KWA #TUNDU LISU MAPEMA SANA.

Share kila mtu aipate ratiba hii

Alphonce Shadrack Paul
Safi sana
 
88 Reactions
Reply
Back
Top Bottom