Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,783
- 66,961
Bournemouth, Norwich
mkuu nimeiona, japokua yetu kama mwanzoni ningumu flani hvi, ila nimependa kile kipindi cha baridi msimu wa x mass ipo fair
Ni timu gani zimepanda daraja msimu huu?
FACT: manutd ndio timu pekee toka england iliyofungwa mechi yake ya ufunguzi lakn ikatwaa ubingwa kila timu inayofungwa mechi ya ufunguzi huwa haitwai ubingwa
Nimeiona aisee ni nzuri sana. Kama kawaida EPL kila weekend lazima watu wa enjoy kwa big match
United mechi za kwanza ni mteremko tukiwa na squad nzuri...
Kumbuka kuna champions league...
Kabla haijaanza lazima tuhakikishe kuwa kwenye ligi tunafanya vyema...
Yaani Liverpool uso kwa uso na Stoke City..! Na kwa usajili unaendelea wa Brendan ni msimu mwingine wa maumivu lol..! Itabidi msimu huu niwe mpole tu..
Mkuu mpaka leo hujui??!!