Ni aibu mahakama yenye shughuli haimualiki kuwa msemaji rais wa tls. Ni wazi hawamuungi mkono.Uzuri Shangazi ata semea Sehemu nyingine na ata sikika tu ,Mh Lissu hayupo Nchini kwa Muda mrefu lakini anapo ongea tu Watawala wa Awamu hii hawalali kuanzia kwenye ule Mhimili ulio jichimbia mpaka Lumumbabuku7 wana weweseka...
Ni aibu mahakama yenye shughuli haimualiki kuwa msemaji rais wa tls. Ni wazi hawamuungi mkono.
Humjui shangazi yenu ni mgonjwa wa mkichwani?Ni aibu mahakama yenye shughuli haimualiki kuwa msemaji rais wa tls. Ni wazi hawamuungi mkono.
Kumekucha,shangazi kaenguliwa,ni mara ya kwanza tangu kupata uhuru wa Tanganyika Mahakama kuitenga TLSView attachment 1014290
Mahakama imekuwa kama idara ya umwagiliaji maua pale Ikulu
LABDA SHERIA NAYO IMEAMUA KUUNGA MKONO JUHUDI!Kumekucha,shangazi kaenguliwa,ni mara ya kwanza tangu kupata uhuru wa Tanganyika Mahakama kuitenga TLSView attachment 1014290
WellUzuri Shangazi ata semea Sehemu nyingine na ata sikika tu ,Mh Lissu hayupo Nchini kwa Muda mrefu lakini anapo ongea tu Watawala wa Awamu hii hawalali kuanzia kwenye ule Mhimili ulio jichimbia mpaka Lumumbabuku7 wana weweseka...