demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Ratiba ya michuano ya Klabu Bingwa Barani Africa imekamilika rasmi jioni hii.
"HATUA YA AWALI/ Preliminary round"
Mabingwa watetezi wa LigiKuu Tanzania bara wa wamepangiwa na Mabingwa wa LigiKuu kutoka huko Comoro. Inaitwa 'Ngaya De Mbe'.
Mechi ya kwanza:
Ngaya De Mbe vs Young Africans SC (10,11,12-02-2017).
Young Africans SC vs Ngaya De Mbe
(17,18,19-02-2017).
Tusizungumzie sana kuhusu mtanange huu wa awali. Kwa kuwa ni moja ya kazi nyepesi kabisa ambayo hata Mtibwa Sugar FC.
"16 - BORA".
Baada ya kumalizana na hao vijana wa Comoro, mabingwa wa kihistoria wa LigiKuu Tanzania bara watatakiwa kucheza na mshindi kati ya:-
APR(Rwanda) vs Zanaco (Zambia).
....................................................................................
Kwa tafsiri ya Haraka haraka tunaweza kusema(kutokana nanratiba hii) Dar es Salaam Young Africans SC wameshafanya Booking ya seat katika basi lililoandikwa "Group Stage" kwa kuwa sioni kitu chochote kinachoweza kuwazuia Mabingwa hawa kati ya APR na Zanaco.
Labda unaweza kusema Zanaco ni mfupa mgumu sana. Mara ya mwisho 2006 walitutoa kwenye michuano hii kwa Aggregate ya mabao 3 kwa 2.
Yanga SC 2 - 1 Zanaco
Zanaco 2 - 0 Yanga SC
Katika historia ya Klabu ya Yanga SC imeweza kutana mara mbili tu kwenye michuano hiyo ya Mabingwa barani Africa.
(Ukilinganisha ubora wa kikosi cha Yanga SC 2006 na hiki cha sasa tunaweza kusema kuwa matokea hayo dhidi ya Zanaco si kigezo cha kuwazingatia hao kama ni obstacle ya kuzuia mawimbi ya upepo mkali wa Jangwani)
Ila kwa Ubora wa Klabu ya Young Africans SC ya hivi sasa sioni kama klabu hii(Zanaco) ni kikwazo. Ushindi wa hapa utatuhakikishia kusonga mbele kwenye hatua ya Makundi.
Kwanini kwenda hatua ya makundi ni lengo Mama?
Licha ya kuwa lengo kuu ni kuwa Mabingwa wa bara la Africa.
Lengo letu(Mama) ni kifuta makosa ambayo tumeyafanya msimu uliopita. Hakuna mwana Yanga asiye tayari kuona tukifanikiwa kusahihisha makosa yaliyotughalimu msimu uliopita tulipofika hatua ya Makundi. Hivyo basi ningependa kuwa pongeza wapenzi na Mashabiki wa Yanga SC kwa kuwa msimu huu kwenye michuano ya Klabu Bingwa Barani Africa kwa kuwa wanaenda kushuhudia kilicho bora zaidi ya msimu uliopita..
Nawasilisha....
"HATUA YA AWALI/ Preliminary round"
Mabingwa watetezi wa LigiKuu Tanzania bara wa wamepangiwa na Mabingwa wa LigiKuu kutoka huko Comoro. Inaitwa 'Ngaya De Mbe'.
Mechi ya kwanza:
Ngaya De Mbe vs Young Africans SC (10,11,12-02-2017).
Young Africans SC vs Ngaya De Mbe
(17,18,19-02-2017).
Tusizungumzie sana kuhusu mtanange huu wa awali. Kwa kuwa ni moja ya kazi nyepesi kabisa ambayo hata Mtibwa Sugar FC.
"16 - BORA".
Baada ya kumalizana na hao vijana wa Comoro, mabingwa wa kihistoria wa LigiKuu Tanzania bara watatakiwa kucheza na mshindi kati ya:-
APR(Rwanda) vs Zanaco (Zambia).
....................................................................................
Kwa tafsiri ya Haraka haraka tunaweza kusema(kutokana nanratiba hii) Dar es Salaam Young Africans SC wameshafanya Booking ya seat katika basi lililoandikwa "Group Stage" kwa kuwa sioni kitu chochote kinachoweza kuwazuia Mabingwa hawa kati ya APR na Zanaco.
Labda unaweza kusema Zanaco ni mfupa mgumu sana. Mara ya mwisho 2006 walitutoa kwenye michuano hii kwa Aggregate ya mabao 3 kwa 2.
Yanga SC 2 - 1 Zanaco
Zanaco 2 - 0 Yanga SC
Katika historia ya Klabu ya Yanga SC imeweza kutana mara mbili tu kwenye michuano hiyo ya Mabingwa barani Africa.
(Ukilinganisha ubora wa kikosi cha Yanga SC 2006 na hiki cha sasa tunaweza kusema kuwa matokea hayo dhidi ya Zanaco si kigezo cha kuwazingatia hao kama ni obstacle ya kuzuia mawimbi ya upepo mkali wa Jangwani)
Ila kwa Ubora wa Klabu ya Young Africans SC ya hivi sasa sioni kama klabu hii(Zanaco) ni kikwazo. Ushindi wa hapa utatuhakikishia kusonga mbele kwenye hatua ya Makundi.
Kwanini kwenda hatua ya makundi ni lengo Mama?
Licha ya kuwa lengo kuu ni kuwa Mabingwa wa bara la Africa.
Lengo letu(Mama) ni kifuta makosa ambayo tumeyafanya msimu uliopita. Hakuna mwana Yanga asiye tayari kuona tukifanikiwa kusahihisha makosa yaliyotughalimu msimu uliopita tulipofika hatua ya Makundi. Hivyo basi ningependa kuwa pongeza wapenzi na Mashabiki wa Yanga SC kwa kuwa msimu huu kwenye michuano ya Klabu Bingwa Barani Africa kwa kuwa wanaenda kushuhudia kilicho bora zaidi ya msimu uliopita..
Nawasilisha....